15November

KISSES TO THE MAIL MAN........

 


So i had a whole box of African Prints fabric delivered to my house today.....

aaaaawwwwwwww........Lets get cracking.....lol.....

I have 9 more boxes to be delivered this week and next from different companies.....


I swear, the things that make me happy these days!!!hahahahha....who thought?????lol

 


 


14November

MANGE KIMAMBI BLOG FOR RAY C.........PLEASE LETS HELP.........

 

 

 

 

RAC Y and I back in 2009......

Hapa nilikuwa nimekwenda dukani kwake kumsupport kwa kununua a few stuff kwani ndo alikuwa kafungua duka lake maeneo ya msasani....

HEY GUYS,


KAMA MLIVYO NISUPPORT  EARLIER THIS YR WAKATI NAFANYA ILE EVENT YA KURASINI. TAFADHALI NAOMBA MNISUPPORT KWA HILI PIA....


KAMA MMESIKIA RAY C AMEADHIRIKA VIBAYA SANA NA UNGA.

MAMA YAKE MZAZI ALITOKEA KWENYE TV LAST WEEK AKIOMBA WATU WAMCHANGIE MWANAE ILI AWEZE KUMTIBU.

YANI NIMEONA A FEW PHOTOS MACHOZI YAMENITOKA. WE NEED TO HELP...


MAMA YAKE ALISEMA ZINAHITAJIKA KAMA 28 MIL KUMPELEKA REHAB NAOMBA SISI KAMA SISI TUCHANGIE KWA CHOCHOTE KILE KIDOGO TULICHONACHO....


TAFADHALI NAOMBA MTOE IDEA ON HOW THE MONEY SHOULD BE COLLECTED HUKO HUKO DAR??? NISINGETAKA PESA ZIPITIE MIKONONI MWANGU AT ALL , KWANZA NIPO MBALI SANA.


NAOMBA TUKUBALIANE PESA ZIWE HANDLED VIPI NA TUKISHAKAMILISHA MAMA YAKE RAY C ATAKABIDHIWA.


LEO KWAKE KESHO KWETU.

BEING A MOTHER MYSELF MY HEART GOES OUT TO RAY C'S MOM WHO RAISE SUCH A BEAUTIFUL TALENTED YOUNG WOMAN.

SOME PEOPLE WANAONGEA UJINGA SANA ETI ALIBWIA MWENYEWE UNGA SO SHE DOESNT DESERVE TO GET HELP.

EVERYONE DESERVES A SECOND CHANCE, RAY C ANGEKUWA NI MWANAO WA KUMZAA JE UNGEYASEMA HAYO???

NA PIA ANAWEZA KUFA HUYU , JE AKISHAKUFA NDO TUANZE KULIA KWA UNAFKI WAKATI TULIKUWA NA UWEZO WA KUMSAIDIA

BALI TUKAPUUZIA????


KWA WAUZA UNGA   MTAISHI MAISHA YA KITAJIRI KWA KUHARIBU NA KUUA WATOTO WA WATU MPAKA LINI???? HOW DO YOU SLEEP AT NIGHT KNOWING HILO JUMBA UNALOLO LALA, MAGARI YA KIFAHARI UNAYOENDESHA

YOTE HIYO IMETOKANA NA KUHARIBU WATU KAMA KINA RAY C????


KAMA UNA SWALI AU LOLOTE LA KUNIAMBIA KUHUSU HILI PLEASE EMAIL ME , This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it

 

 

BELOW RAY C A.K.A KIUNO BILA MFUPA WHEN SHE WAS RUNNING BONGO MUSIC.......

RAY C- MAHABA YA DHATI.......

 

TMK FT RAY C- NIPE MIMI

 

RAY C- UKO WAPI

 

RAY C- UMENIKATAA

14November

JUST IN.......ONE MORE DAY LEFT....YOU CAN BUY THIS TOO....

Kwanza kabisa naanza na shukurani...

Guys you have been super supportive of Bongolicious, Last time i sent home 2 suit cases

this time im sending 6 suit cases.....OMG, Yani i couldnt thank you enough.........

Duh, sijui nawashukuruje yani....


Anyways, i havent had time to upload these kwenye website na  muda umekwisha so u can choose a number

alafu fuata process zile zile kama za mwanzo.....

 

DRESSY DRESSES......

#1

$42

 

 

 

 

 

 

 

#2

$44

 

 

 

 

 

#3

$ 45

 

 

 

 

 

 

#4

$42

 

 

 

 

 

#5

$48

 

 

 

 

 

OFFICE/WORK STUFF......

#6

$48

 

 

 

 

 

 

 

 

#7

$48

 

 

 

 

 

 

#8

BLOUSE : $36

PENCIL SKIRT : $41

 

 

 

 

 

 

 

 

#9

$48

 

 

 

 

#10

$58

 

 

 

#11

SKIRT: $39.99

 

 

13November

BONGOLICIOUS NDANI YA BONGO WIKI HII.....1 MORE DAY TO ORDER......

HEY GUYS,


KUNA ONE MORE DAY YA KUTOA ORDER NA KULIPIA.

MZIGO UTAKUWA BONGO WEEKEND HII.......


KAMA BADO UNATAKA KUNUNUA


PLEASE INGIA WWW.MYBONGOLICIOUS.COM CHAGUA UNACHOTAKA


PLEASE FATA MAELEZO NILIOWEKA HUMU


NA KWA WALE AMBAO MMESHANUNUA, PLEASE NITUMIE EMAIL JUST TO DOUBLE CHECK SITAKI MTU AKOSE KITU CHAKE THIS TIME.


 


This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it  or This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it

+1 954 591 2542 ,PLEASE DON'T CALL JUST SEND A WHATSAPP MESSAGE


13November

MZIGO WA BONGOLICIOUS IN BONGO THIS WEEK....PLEASE CONTACT ME TO DOUBLE CHECK....

Hey guys,

Nguo zinakuja Bongo end of this week.....


sasa naomba wale ambao last time mlitoa order na mkalipa na nguo hazikuja, please nitumieni email ya kunikumbusha tu ili ni double check nimake sure nguo zenu zimo...

Nawapendaje sasa?

 

This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it au This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it