14October

HOUSE PARTY WITH HUBBY'S FRIENDS.....

CELEB HAIR.....WANT SOME? CALL MAGE MZINDAKAYA +447773 292235

 

 

CELEB HAIR BABY.......HATA UZISUKIE MARA NGAPI IT DOESN'T CHANGE....

HIZI NDO ZILE NILISUKA WAKATI NIMEKUJA NIPO HOUSTON NIMEONGEZEA A FEW NEW PIECES JUST TO MAKE THE HAIR FULLER....

 

 

DRESSED BY BONGOLICIOUS.....

THIS IS DRESS # 23 SIZE -SMALL.....

GET YOURS........

KWA WALE AMBAO BADO SIJAWAJIBU EMAIL ZAO PLEASE

KEEP CHECKING YOUR EMAIL NAJIBU KIDOGO KIDOGO AS

IM ALREADY OVERWHELMED. I NEVER EXPECTED SUCH A HUGE RESPONSE....

YANI SIJUI INAKUWAJE....LOL...

 

 

 

Last night i went to Kristin and Zac's farewell party at one of their/hubby's friend's house.

Kristin and Zac are moving to Dallas.....

 

Zac.....Going cowboy style....lol...

 

 

Bobby....

 

John and Hubby....

 

 

 

Moi, Josephina, Kristin

 

The boys.....I have to admit my hubby's friends are so much fun....

never a dull moment with these boys...lol

 

 

 

Lance and the girls...

 

 

Malovey dovey......lol....

 

 

 

 

Then came the drinking competition...lol...

sijapata kuona aiseee.......lol

 

 

Bobby and i.....

 

 

Zac

 

lol...

 

us.....

 

The girls....

 

Navyojua kushikilia glass sasa embu niambie ninywe....hahaha

 

 

 

watu tuko kwenye party hwa wanaangalia football...

what is it about men and football????lol

 

 

John and i....

i have made it my mission to find John a really hot Tanzanian girlfriend. He didn't even have to ask me, i just offered.hahhahaha

So if kama you are hot, embu ntumie email na picha zako kama 5 hivi to This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it

requirements

1. uwe unaishi marekani tayari  - mapenzi ya whatsapp hayana dili...lol..

Doesnt matter which state.....

2.uwe mwembamba

3. Angalau uwe na first degree

4.usiwe umezidi 35yrs old....

5. uwe mtanzania

6.uwe sexy flani hivi...hahahahha

7.Usiwe mwomba hela...hahahahhahahahahahaha maana utantia aibu.....

Hata kama huna makaratasi poa tu tuma picha kila mtu na bahati yake unaweza kupendwa ukaolewa kabisaaaa

wifi mwenyewe ndo mimi nkikupenda basi mambo yako lazma yanyooke....hahahahhahahahahah


John works with my hubby, so unajua tayari mambo yake swafi mnoooooo,

 

 

haya tiririkeni kwa email.........

Zac, John and i......

 

HAPPY PEOPLE.....

Comments (152)

  • Ronie

    Ronie

    14 October 2012 at 09:24 |
    its awesome!enjoy life is too short
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 06:02 |
      hAA!! Mange I want zat Joni!!. niko USA na karatasi sinablunt tena niko jirani one hour flight to Florida uwiii nikukute wapi mange nikajiseksishe!! manungayembe ya kiume ya huku niliko ovyoooo!!!
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 06:07 |
      Mange!! 145lbs anakwalifai au anaweza kunibeba nikakomaa na gym?? jamani aka na mie natafuta mtu wa maana mwenzangu marekani ngumu kuishi mwenyewe na hivi winter iko njiani!
  • Uturn Addict

    Uturn Addict

    14 October 2012 at 09:31 |
    Enjoy ur life to the fullest ceo......
    blowkiss
    • maudodo

      maudodo

      15 October 2012 at 09:11 |
      jamani u turn addict, marichui, c's mum, nainai, DHW, mrs patel,koku, beautiful onyinye, muke ya muchina, mke ya jaluo, ndebby baby na mawaziri wote kumbe mna loh mbaya hivyooooo, yani hata kunitwangia kuniambia tumehamia mtaa wa saba mmeshindwa, yani nimehangaika kukatiza mapori miba imenichoma hapa nina kipeto kichwani na viatu mkononi niko hoi ndo naiona u turn loh, hepu nipeni maji ya baridi kwenye glass ya bati, nipunguze uchovu... ngoja kwanza nimpigie mshamba nimwambie nimeiona u turn mana tuliachana huko njiani kila mtu amekula denge lake..... I will be back soon... oooooooopphhhhhh..!!!! nimechoka...!!!
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        15 October 2012 at 17:59 |
        ahaaa Maudodo mbonaceo alishagaweka ...do ! pole Dearhappy we are happy umepata njia ...lo ... Mi nilijua Baba Chuchui Kakubananishalaughinglaughing
      • muke ya jaluo

        muke ya jaluo

        16 October 2012 at 09:29 |
        pole sna maudodo jamani ceo alishasemaga tunahamia miami ahhahahaahahah tunashukuru Mungu umefika salama we luv u maudodoblowkiss
        • maudodo

          maudodo

          19 October 2012 at 15:13 |
          blowkiss to muke ya jaluo
  • Uturn Addict

    Uturn Addict

    14 October 2012 at 09:32 |
    Hehehhehheeheh no comment on john's issue....cheers
  • Uturn Addict

    Uturn Addict

    14 October 2012 at 09:34 |
    Awwwww that pic of u n lakeman....... Malovey dovey....

    Its sooooOooooooblowkiss
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    14 October 2012 at 09:34 |
    hahah warembo tiririkeni,i miss this Mange yani kila nikiingia nakuta no update so here we go again the kijiwe is back meeeeiiin.... Halafu Mange i've realised that hupendi kufunga zip ya handbag y eehpopcorn
  • Ndebby Baby

    Ndebby Baby

    14 October 2012 at 09:53 |
    Enjoy darling....haya jaman bahat ya mtende hiyo...tumeni picha.
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    14 October 2012 at 09:58 |
    WHOOOOU, KULA MAISHA CEO WETU...PENDEZA SANAA KWELI HIYO SHEMEJI ZAKO IKO FUNY KWA SANA ILA SHEMEJI NAHISI NI MPOLE NA MWENYE HAYA KIDOGO....KUHUSU HIYO MTU NATAKA TAFUTI CHUMBA KWISHA TUMA PICHA ZANGU 5, NAJUA TAPENDA TU MIMI???....HA HA HA HA LOLS.
  • Mammu

    Mammu

    14 October 2012 at 10:09 |
    Happy people, kuleni raha, maisha mafupicheersletsparty
  • mke wa mzungu

    mke wa mzungu

    14 October 2012 at 10:42 |
    Haya mlokuwa mnatuma emails mzungu ndo huyo, tumeni picha. Ila zingatieni vigezo, ila kama upo chuoni nafikiri unaweza jaribu bahati pia. Wachuna mabuzi mshaambiwa msipoteze muda.
    Wanawake tupende kujitegemea jamani, ilituheshimiwe.
  • k0ku

    k0ku

    14 October 2012 at 10:43 |
    heheeee! sipati picha watu watakavyowakimbia waume zao kisa Zac..lol- mawifi utawapata wengi mange, sipati picha email itakavyojaa hizo applications ..naomba nikusaidie kuzisomagoodluck
  • mkereketwa

    mkereketwa

    14 October 2012 at 10:52 |
    Tupishe hapa :slapping:utawapata haohao wenye digirii za kubahatisha kama yakwako ndo uwatafutie maabwana wa kizungu unafikiri kila mtu ana-mindisha kuliwa tigo kama wewe? Punguza kiwango cha elimu ndo utawapata au kama digrii za kichina na mwarabu. Wengine tumejijelewea kuolewa na haimaanishi tumekosa wakuwang'ang'ania kama mnavyofanya, na nyie ndo mnawafanya mabinti wadogo wanakuwa desparate kuolewa huku wakiwa wanajua it is just to do sex aaaargh wee Malaya uliyesahaulika acha hizo mada zako embu uza nguo bwana tukuungishe wenye kazi zetu zinazothamini professional
    • Mkweli

      Mkweli

      14 October 2012 at 18:47 |
      Kuliwa tigo doesn't mean mtu lazima awe mzungu nenda bongo ukajionee mwenyewe wanaume la wanelogwa na tigo by the way Kama wewe hutaki hii haikuhusu kuna wengine wanataka so pita zako uendelee
      • Anonymous

        Anonymous

        15 October 2012 at 02:44 |
        Mkereketwa mbona una jazba sana?? kama wewe huna shida ya mwanaume kuna wanaotaka jamani baasi punguza hasira kunywa maji ya baridi utafute gazeti la mzalendo ujisomeee zako!!! mbona degree imekukuna sana jamani? wewe kaaa pembeni sie tujaze applications tulio huku majuuuu hahaha usilie bwaaanalicking
        • dadayawema

          dadayawema

          15 October 2012 at 07:13 |
          MKEREKETWA ni mshamba sanaa, kwanza degree kila mtu anayo siku hizi, nenda bongo kaangalie wakina dada kariakoo wanauza maduka na degree zao, wakina Maznat na biashara zao, wapo wengi sana wengine wanafanya kazi samaki samaki wana degree siku hizi sio issue issue ni jinsi ya kutumia cheti. Miaka sita iliyopita kidogo watu walikuwa wanaringia degree sasa kuna mzumbe university mbeya, morogoro wanachukua wanafunzi maelfu, kuna Ruaha university iringa, tumaini iringa,arusha,dar, kuna sauti university, kampala university gogongola mboto, bado kuna udsm, vyuo kibao wasomi wakutiririka,IFM na TIA MBEYA NA DAR sasa nani anamringishia mwenzie ki degree ulitaka aseme elimu ya msingi?
          AMEWEKA KIGEZO HICHO ILI MTU AENDANE NA JOHN
          PILI UMEUMIA SANA MKEREKETWA SABABU HUNA HATA SIFA MOJA HAPO

          AFU KULIWA TIGO HAKUNA MADHARA NI USIFANYE MARA NYINGI TU NI KITU CHA KAWAIDA NASHANGAA MNAVYOLALAMIKIA WAKATI HATA WEWE UMELIWA, WANAOLIWA HUWA HAWASEMI ILA TAMUUU
          • m a r i c h u i

            m a r i c h u i

            15 October 2012 at 08:52 |
          • baby Madaha

            baby Madaha

            16 October 2012 at 16:34 |
            Dada ya wema unatumia kinywaji gani???umenikunaaaa wapi brother Kay?njoo usikiee maneno ya dada ya Wemaaa,,,walai mie lazima nifanye huo mchezo mbaya na baby wangu,,,ninavompenda siwez kumbakisha
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 09:31 |
      pole naona ulivyomaliza kuandika hii comment ulikua hoiiii. pole sana kwa kazi nzito.
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 11:36 |
      dontbebitchyslappinghahaha nimeamini kuna watu wanawivu mpaka Kerooooooooo.

      shosti usiusemee moyo umeolewa wewe acha wanaohitaji watume. umelazimishwa kujihusisha na maada hiyo, it seems shape ya ubongo wako haiko sawa , unakazi!!!! kazi utakuwa nayo weye na wenye kazi mother fanta.chase
    • Anonymous

      Anonymous

      16 October 2012 at 03:44 |
      hahaaa!Pole sana Mkereketwa!Comment yako inaonyesha unahasira sana na uko mpweke!usihofu dia kama hujafikia hivyo viwango,Mungu wetu ni mwema atakutumia wako!Punguza hasira kidogo mpenzi maisha ndiyo haya tunaishi!have fun!cheers
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 11:00 |
    Niamini wa moja ni wa moja tuuu! mwenyewe nishaandaa pics zangu ili nitume...loh! Kuja kusoma instractions cna hamu maana me niko bongo..na bwana anataka mtu awekulele marekani..hadi hapo nshamkosa bwana john..sometimes mtufikirie nasie wa mbali..kama me nnavigezo vyote bt the problem is niko out of marekan.
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 11:05 |
    John mashallah! Kaumbwa hadi anatia raha kwakweli.... Me penda yeye xna.pls tell him
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 03:18 |
      Haaaa haaaaaaa!Sawa nshamwambia anonymous sayayeye penda wewe sana.Heee heee...he says he does not want to end up with an anonymous gf,it's not gonna work.Heeee heeeblowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 11:15 |
    ushaanza ukahaba ,mmmh yatakushinda mwanamke nani asiyekujuwa unapenda kuuza watu kwa wanzungu.
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 09:37 |
      eti nani asiyekujua unauza watu kwa wazungu. bibiee peke yako ndio unajua na umbea wako, hapa ni kama changamsha genge atakaye taka atatuma kama utaki kaa pembeni waache wenzio watiririke. unaonyesha ushatuma sema unajishebudua hovyooooo
  • c's mum!

    c's mum!

    14 October 2012 at 11:15 |
    kazi ipo wallah! mange hiyo kazi ya ukuwadi itaku-cost! ngoja umtafutie mwenzio jizi ndio utakiona cha moto! ol in ol, pendeza sana mangesto!
    • muke ya jaluo

      muke ya jaluo

      15 October 2012 at 13:59 |
      kweli kabisa ceo husijeambiwa unauza watu bure ni mtazamo tu
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 11:20 |
    usisahau cheti maana wengine hapo wameshakufa siku nyingi kwa ngoma unazani ni wembamba mtaua wengi mwaka huu.wanaonekana hot girl kumbe kifo. Baba mungu atunusuru jamani
  • responsible woman

    responsible woman

    14 October 2012 at 12:09 |
    Mmh ha.no comment kw sasa
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    14 October 2012 at 12:10 |
    Mnamvuto ...thumbs up haya kila la kheri wenye kinyanganyiro cha John ..goodluck
  • responsible woman

    responsible woman

    14 October 2012 at 12:16 |
  • Sexy lady

    Sexy lady

    14 October 2012 at 12:25 |
    Hahahahahaaha napita tu, i am tooo sexy for this dudelmao
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    14 October 2012 at 12:45 |
    Malovey dovey......lol.. Hiyo Applied Mbele tu

    Kibantu bantu uanze tu hata kumshika bega mumeo mbele za watu ..cuss
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 03:22 |
      You've just killed me...
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 13:17 |
    and the John boy goes toooooooooo Lilian Aman,i can see the two of them getting along well
  • Anoni

    Anoni

    14 October 2012 at 14:11 |
    Huyo girlfriend anakuwa wako au wa John...labda tuambie unachangamsha genge...otherwise we sio mzima.
    • nyani haoni kundule

      nyani haoni kundule

      14 October 2012 at 18:37 |
      hehehehe AHSANTE ANON MAANA KAAZI IPO LOH TUZAE TU TUSIITWE WAGUMBA LAKINI HUYU KIBOKO MAMBO YAKE
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 09:38 |
      cyo wakati wa maswali na majibu eeeh usichoelewa nini. ukuda tu.
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 14:31 |
    Mange, hahahhahaa, I saw the pic kabla hata hujamuongelea John n I was like this guy is kinda cute hahahahhahaa. Gafla naona unamtangaza nimenyong'onyeajeeee lol. Mimi nina makaratasi, degree, under 30, tatizo I weigh 185 pounds. Hapo chacha
    • Hawt  Cougar

      Hawt Cougar

      15 October 2012 at 01:01 |
      hahahahahaha....eti 'hapo chacha' ingia diet mpenzi haitachukua muda
      • Anonymous

        Anonymous

        18 October 2012 at 10:47 |
        I totally disagree, don't change yourself for a man, let him love you the way you are...who knows he may just love you like that. so try your luck gal, wala usiogope.
  • MISS U TURN

    MISS U TURN

    14 October 2012 at 14:42 |
    UWIIIIIIIIheartheart NIMEMPENDAJE ALIYOVAA KOFIA YA DRAFT NA TSHET YENYE KAMCHORO CHA NJANO.....mange MBONA HUJATUAMBIA ANAITWA NANI...
  • MISS U TURN

    MISS U TURN

    14 October 2012 at 14:44 |
    mange NJUGULIOUS YA READLIOUS NAONA IMEKUKOLEA PENDEZA MASHAALAHblowkiss
  • MISS U TURN

    MISS U TURN

    14 October 2012 at 14:46 |
    mange JAMANI HIZO NYWELE BBY DAA BEI YAKE MUMMY KABLA HATUcall me
  • k0ku

    k0ku

    14 October 2012 at 16:10 |
    heyceo mange! hizo nywele nazitaka sana.ila ningependa kujua ni piece ngapi zinatosha kwa kichwa? (mfano wewe umesukia ngapi?) pia je mage anayo link nyingine ambayo ninaweza kuona varieties za hizo nywele au ni aina moja tuu anauza? please nijulishe mpenzi, nazihitaji sana ila simu kumpigia nimeshindwa kwani hubby ameblock int.calls...lol
    • Oz housewife

      Oz housewife

      15 October 2012 at 05:28 |
      Pole sana koku, nakuombea asikublokie hii blog
  • KATERERO  TAMU

    KATERERO TAMU

    14 October 2012 at 16:14 |
    JAMANI FENESI PATEL unaniachaga hooi...yaani mara nyingine huwa naingia humu kukusoma wewe tu yaani natamani nikuone....

    Pia mi nakupongeza sana Mange kwa kuanza kutuunganishia hao shemeji zako. Hayo ndo mambo tunayoyataka. Mi najua shemeji zako wameshtuka mademu wa kizungu wazushi tu so wanatutaka cc. sasa na we utakaepata fursa ya kumnasa huyu mzungu na wewe uchakarike UTUUNGANISHIE NA CC HUKU, WENGI WETU TUNAKAA NA MA-BF ILI MRADI TU MAANA WENGI NI VITOMBI SANA YAANI WAVULANA WA BONGO ZIP NJE NJE. Mi BF nimemfumania mara kibao, kumwacha cwezi maana na wengine nao wako hivyohivyo.

    Kuna shostito wangu alidai BF ni mzuri sana na hapendi kbs mademu. Huyo BF akanitongoza. Nikamwambia niko bize saa kumi aje steers. Kidume kikafika toka saa tisa so mi nilipofika saa 11 ndo akasrma amekaa 2 hrs.

    Lengo ilikua nimrekodi kwenye cm asemacho na nikafanya hivyo ili nikamwambie shostito jamaa yako ni kama vitombi wengine wa bongo but dada yangu akanisihi sana. Akasema nitamuuzi huyo jamaa na hata shostito atanichukia so sijamwambia ila kila cku anavyojishauaga na huyo jamaa natamani nimfungulie asikie!
    • anonymous

      anonymous

      15 October 2012 at 07:20 |
      hi hi hi, ila kukutongoza haimaanishi kakupenda pia alitaka tu akuonje ndio wanaume walivyo, na wewe ukaenda kabisa kuonana nae je mngefumwa?
      wanaume ndio walivyo hawana tofauti woteeee hata baba yako,kaka yako,boss wako,mume wako na mfanyakazi mwenzako wote jora moja asilimia 10 tu labda wametuliza silaha
      • muke ya jaluo

        muke ya jaluo

        15 October 2012 at 14:10 |
        hahhaahhhahha na kwenda si lazima alale nae
      • Uturn Addict

        Uturn Addict

        15 October 2012 at 15:54 |
        woooooooooord mdau...... kunywa kinywaji unachotaka bili juu yangu.
    • muke ya jaluo

      muke ya jaluo

      15 October 2012 at 14:07 |
      KATERERO TAMU
      umenichekesha kweli yaani kweli kuna wadada kwakusifia waume zao wakati hawajua wanafanya nini huko nje hahahahhaha kuna mmoja yupo hivyo hivyo hapa kwetu kutwa kumsifia mume na kutwa kuturingishia picha walivyopiga kwenye harusi hahahhaahhhaahha kumbe mume anamfukuzia shost yangu vibaya mno
  • mrs JOHN 2B

    mrs JOHN 2B

    14 October 2012 at 16:36 |
    lmao watuuu weweeeeeeee

    MANGE SASA SISI MEDIUM SIZE UNATUNYANYAPA.....MIMI TAKA JOHN, SEMA MIDIAM SIZE ....ITAKUWAJE SASA WIFI???
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 16:48 |
    watu walivyokuwa na usongo na wazungu.mbona utatumiwa email tu.na umeshasema ana kazi ya maana ndio kabisaaaaa.
  • john  geek

    john geek

    14 October 2012 at 16:59 |
    lmao sasa we mange wataka mwenzio asimuombe john pesa wakati wewe cha kupewa,,,,acha choyo
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 02:47 |
      Hahahahahah!! Kuomba pesa muhimuuu bwana eeh! sasa John sianaelewa TZ full matatizo? nitamaliziaje kanyumba ka bibi yangu nisipo muomba hela?? hahahahahah sitaki mie jamani! na wewe Mange unajuaje labda John anapenda kusaidia je? au anapenda kuhonga jee?blowkiss
  • TIJARA

    TIJARA

    14 October 2012 at 17:27 |
    U TURN ADDICT UMEONA EHEEE, KWA RAHA ZAKE NA MOLOVE DOVEY, MMM MI CHICHEMI!!
    @ FENESI PATEL, KAMA NAONA VEVE SASA NAKULA BATA KAMAceo WETUwakuache HAHAHAAAblowkiss

    KULA RAHA OURceo INABIDI KUPUMZIKA KIDOGO SIO WAKATI WOTE BONGOLICIOUSblowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 17:37 |
    kama wifi mwenyewe ni ww noma sitaki ng'ooo najua mtu alitafutiwa mchumba now ni mume na mtu fulani yaani usiombe ni balaa tupu bwana wa kuunganishiwa ni noooooooo ila kama unayaweza kula kichwa hicho kinaonekana kinalipa ila sasa na CEO na ww mambo ya nyumba sio issue kitu kikubwa hapo ni malove.
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 18:32 |
    Heeheeeheee NICHEKE MIE, malovey dovey mmh kama kawaida yao wazungu mbele za watu malovey dovey meeeengiii , kushikanashikana na mabusu, ngoja muingie chumbani, ZEROOOOO kila siku mwanadada unaachwa katikati ya safari..... Unapowatangazia watu kuhusu huyo shemeji yako mzungu uwaeleze na mambo yao kuwa ni wa baridi hao , chumbani wabaridi kama barafu. Kwa mwaka mtu unaweza fikishwa mara 5 tu..LOLEST.Tulishagawapitia tukawatema na wengine tushahapa HATURUDI TENAAAA HUKOOO,nyie endeleeni kutafuta maisha c/o mzungu, HAPO ULIPOLALIA SIE TULISHAGAAMKA ZAMANI SANA,huwa tunawatazama tu.
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 08:13 |
      wivu unauma sana yaani unauma kweli hasa ukiona wenzio wanapata raha katika mapenzi yao na wewe kwako kumebuma....aliyekwambia wanaume wote weusi wanafikisha wake zao nani?? kutwa kufake orgasm. wabaridi wabaridi kwani samaki hao? we kama unawajua si uendelee kutazama tu maneno mengi ya nini???....kunywa panadola kwanza akili ikukae sawa!
      • guest

        guest

        13 March 2013 at 14:41 |
        namimi nataka
      • guest

        guest

        13 March 2013 at 14:41 |
        namimi nataka
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 09:41 |
      kama yalikushinda povu la nini sasa. huo wote wivu.com
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 15:52 |
      huyo uliempitia alikua anamatatizo wengine tunafikishwa kwasiku mara tano
      • Anonymous

        Anonymous

        16 October 2012 at 01:06 |
        acheni uongo na hiyo mijanaume yenu isiyotahiriwa hiyo, mnafikishwa au mnadhani mmefika? mnalabwalambwa weee utadhania mmegeuka mbwa.msonyooooooo, rudini kwa mipingo muonyeshwe kazi ya kitandani, mtaridhika, mtakuwa stable na miblog yenu hii mtaifunga, maana ni no stress,full kuwa satisfied.Sio sasahivi mistress yenu yote mnakuja kuimalizia kwenye blog na facebook.Nyooo, kawadanganyeni hao wasiojua mwanaume wa kizungu, hata mimi namsupport anon hapo juu, mzungu ni wa kuenjoy naye tu mnakula ,mnadance mnacheka, but kitandani ni BIG NOOOOOOOOO
  • anonymous

    anonymous

    14 October 2012 at 19:06 |
    hahahahahah!!! mange omg..I laughed so hard at the caption under you and johns pic!..coz I know folks are going to send you emails with pics FOR REAL!..hahahaha!!!..the thirst is real out here..cant wait to see who actually "makes the cut"
  • KATERERO TAMU

    KATERERO TAMU

    14 October 2012 at 19:32 |
    KAMA MBWA, MBWA TU. MI NIKO BONGO SASA BAADA YA KUONA KIGEZO KIMOJA CHA KUA US SINA NA BAADA YA KUTAFAKARI SANA JINSI BF WANGU ALIVYO KITOMBI NA KWA VILE NAWEZA KUKOPAKOPA HATA KWA NDUGU ZANGU KUPATA NAULI NA HELA JAPO ZA KUKAA US HATA MWEZI MI NTAKUTUMIA PICHA

    MI NAJUA NINA VIGEZO VYOTE NA NINA UHAKIKA JOHN AKINIONA MIMI ATAWATOLEA NJE WOOOTE WAISHIO US NA KUNICHAGUA MIMI I CAN BET MY TOP DOLLAR!!! MI PICHA NATUMA 10. TANO ZA MWAKA HUU, TATU NILIPOKUA KINDERGARTEN NA MBILI NILIPOKUA SECONDARI MAANA NAJUA HUYO ATATAKA MTU ALIYE MZURI WA KUZALIWA SIO WA MKOROGO WALA MWEUSI MKAA!!
    • muke ya muzungu

      muke ya muzungu

      15 October 2012 at 23:42 |
      kwa taarifa yako wazungu wanatuzimia sana tulio weusi kama mkaa coz ndo wanajua tuko asili wengine tupa kuleee usijidanganye na karangi kako ka kubabia uadhani ndo tapendwa na mzungu ukimkuta anasifia black ni yule ambaye cheusi tii kama uamini ona Alek wek au Grace Jones uonw wazungu wanavyowapapatikia kwa weusi wao.
      na mie niko cheusi kama mkaa na kila siku wazungu wananiuliza kama nina mdogo ninaefanana nae wanavyopenda black,uliza jungle fever uambiwe,au coffee with cream uambiwe maana zake
      • muuza utumbo haogopi inzi

        muuza utumbo haogopi inzi

        16 October 2012 at 12:35 |
        eti wanapenda weusi kam mkaa?..MNAFANYWA NYUMBA ZA MAONYESHO...Alokwambia mkaa mzuri nani?bayaaaaaaaaaaa
        • Anonymous

          Anonymous

          21 October 2012 at 00:58 |
          Acha kujidanganya wewe eti wazungu wanapenda weusi kama mkaa, wale mamodel weusi unaowaona kwenye tv wasikuchanganye akili. Waafrika wengi wameolewa na wazungu na wala sio weusi kama wewe pakashume. Mtu yeyote aweza kuolewa na mzungu kwa taarifa yako.
  • mrs pampula

    mrs pampula

    14 October 2012 at 19:55 |
    yote tisa kumi mimi nimependa pozi la aliyenyooshewa pistol ya orange hahaaaaaaaaaaaaaaaa
  • new version

    new version

    14 October 2012 at 20:15 |
    Seems like you guys had so much fun...love the pic of you, zac n john you look sizzling hotmukeya
    teh teh me praying for my own black label john to come sweep my feet off the groundlovebatting eyelashes
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 20:42 |
    heheheeee yani mgweno mgweno tu, kithembe hakiachi..sasa mtu amepatwa na jazba, kaandika we kisa amtukane CEO-o malaya blah blah blah Hivi mbona mnajipigisha debe? Watu wengine jamani fikra fupi..match makers wapo for years,Mange kum intro rafiki yake si kuuza watu..amekuambia anataka kulipwa? Asingemtambulisha mngemtukana anabania..wasichana wa kibongo bwana-nuksi!
  • parrotkasuku

    parrotkasuku

    14 October 2012 at 20:58 |
    kanuna CEO (MBA) pendezaaaa
  • Joseline wa Stevie J

    Joseline wa Stevie J

    14 October 2012 at 21:09 |
    First add the dress on my order. Secondly, Kuhusu John niko uvunguni nacheka. Basi akiwa single baada ya miezi kadhaa ka ndoa yangu ntakuwa nshaivunja utani unganishia.
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 21:27 |
    umewauza sana DUBAI waambie basi wakufuate usa then ndio tabia yako KUWADI mkubwa. unafikiri unafundisha nini kwa mabinti wadogo wanaokuwa yaani kwa hili umechemka, saa nyingine uangalie unavyoongea wa malaya mkubwa
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 02:51 |
      Uwiiii Pungusa hasira ndugu!! unauliza anawafundisha nini watoto wadogo, na hao watoto wadogo wanaingia u-turn.com kufuata niniiii? inahuuu? mie naona nivizuri sana kusaidiana katika maswala ya ku date/relationship/mchumba maana wengine tupo busy hatupati wachuchu, wewe move over if u r not interested please and stop mdomo mdomo wako.slapping
      • anonymous

        anonymous

        15 October 2012 at 07:26 |
        hao mnaowaita watoto wana facebook account kafungueni muone walivyo busy kutafuta mabwana, Mange watafutie tu tupate mashombe wengi bongo. achan an washamba, watu wanapata mume sehemu yoyote kwa wrong number, facebook, watsup, kuunganishiwa na kujipitisha. ila mwisho wa siku si kinachoangaliwa mapenzi mlikutana wapi haijalishi
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 09:44 |
      we una yako c bure mweeh una mapungufu. karibu tena siku nyingine ukiwa huna stress
  • demu wa mukenya wa sudan

    demu wa mukenya wa sudan

    14 October 2012 at 21:41 |
    roho inaniuma mwee na shoga yangu anaenda january australiakusoma masters mange wafikirie na wa nchi nyingine akimaliza yuko ready ku relocate mzuri anaquality zote jamani itabidi nimconvince tu atume picha who knows may b wifi utampenda
  • mimi

    mimi

    14 October 2012 at 21:49 |
    manyonyo.
    safari hii hukuulizwa nguo na oda?
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 08:16 |
      maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari!....
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 21:49 |
    John is kinda cute& educated sasa kina me too tulio jibebea mizungu mizee zura zimechoka hata kidegree cha kichina hawanaomg
  • SIMPLY

    SIMPLY

    14 October 2012 at 22:37 |
    BUSSINESS WOMAN,MATCH MAKER,THE PRESIDENT OF WAZUNGU WIVIES,BlOGGER. HAVE I MISSED ANYTHING?
    • Uturn Addict

      Uturn Addict

      15 October 2012 at 08:45 |
      fashionista...hot mama lol
  • Anonymous

    Anonymous

    14 October 2012 at 22:37 |
    YANI MANGE HAPA LEO NAONA EMAIL ZA JOHN ZITAJAA KULIKO COMMENT,
  • Brainlicious

    Brainlicious

    14 October 2012 at 23:54 |
    Go mange, live ur live..... haya sasa wapenda wazungu changamkieni deal, john luks like a sweet guy and easily manipulated if u know wat i mean...hehehheheheheh!! too bad i live in Europe ningejitoa muhanga coz i exceed the requirements kabisaaa mpaka ataniogopa sasa....hata skype haikubaliki mange?
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 02:55 |
    Hehehehe hello John, how are you boo? tanaaa naaa naaa John is alright apungue kidogo, kama ana taka wanawake wembamba na yeye awe mwembamba kidogo, na nywele asawazishe kidogo!! sitaki Afro za kizungu mie!! John! John! John! John! John! LOL! na kwanini John anataka mtanzania tu? lazima utupe sababu maana umesisitiza awe mtanzania!!! why?shakebutt
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 02:56 |
    Mwambie John anisubirie naenda kutengeneza manyonyo yangu december halafu nitamtafutaaa maana wazungu wanapenda big nyonyos sana..lickingblowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 02:57 |
    How tall is John? I only date tall men, no shorty at all, because am short myself oooocheers
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    15 October 2012 at 05:37 |
    licking Baby jamani naminamtaka John,,,,
    • Anonymous

      Anonymous

      15 October 2012 at 06:51 |
      Bebi ya mange mbona you are all over the place sweety?? unamtaka Mange na John pamoja amaa? sikuelewi? I thought u only have one baby naye ni Mange sasa tena wamtaka Mr John!!! ebu make up your mind.
      • baby ya Mange

        baby ya Mange

        15 October 2012 at 16:43 |
        lol upambe tu,,,u all know where my heart is,,i love my Mangenita.
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 05:44 |
    Ana umri gani?
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 06:37 |
    Huyo John anajua km wengine uzuri wetu sio natural?manake asijeona Foto zangu za 3 years back akapiga kelele,visu vilipita ktk mwilini wangu kurekebisha Mungu alivoniumba(Mungu anisamehe)yote Nataka uzuri niko Michigan.
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 06:56 |
    CEO,

    basi kuna dada mmoja wa houston kavaa nguo ya florah print akasema thanks to 40 year design, basi nawewe uanze ugomvi maana nakumbuka kwenye fb your bff alikutagi picha couple weeks ago akiwa amevaa bongolious.. Unaona mambo yalivyokuwa ya kijinga.. Inshort kila mtu na bahati yake.. Keep doing your thing honey.. Walahi wabilahi mie huyo John namtaka ila tu sina hata GED.
  • NANTY

    NANTY

    15 October 2012 at 08:28 |
    ceo umependeza sana hasa uso kwa ujumla
  • ~XOXO MANGEUKO JUU

    ~XOXO MANGEUKO JUU

    15 October 2012 at 08:35 |
    Sasa mange sisi wafupi kama viberiti unatusaidiaje! Maana huyo john ni m tall mm nikisimama naye tafika tumboni ...na ni mempendaje..mwee poor me
  • NANTY

    NANTY

    15 October 2012 at 08:36 |
    CEO HERENI ZAKO SIJAZIELEWA VIZURI NDO FASHION SIKU HIZI NITOE TONGOTONGO JAMANI NAONA KAMA ZINATOFAUTIANA HIVIII AU MACHO YANGU???
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 08:43 |
    oooo mama John Q
  • kim bby

    kim bby

    15 October 2012 at 08:52 |
    blowkiss hey Mange,
    i just admire you big tym mydia from the very first tym i stepped in ths blog..
    enjoy your life to the fullest!!!let them talk talk and you stay focused.
    >>>i like drinking competition thing>>> very fun'
    Coming to Jon
  • muddy washington

    muddy washington

    15 October 2012 at 09:12 |
    enhe so far umepokea maombi mangapi mama bongolicious,tupe mrejesho nyuma(feedback)ili tutoe tathmini kiasi gani wadhungu "wanapendwa"
  • muuza utumbo haogopi inzi

    muuza utumbo haogopi inzi

    15 October 2012 at 09:39 |
    jamani huyo Zac YUPO FUN ANANIKUMBUSHA ZAC wa bongo,mzungu mzuri hatari ila wadada wa mjini full kujibananisha kwake,bora alivoenda SOUTH AFRICA..mmh John mzurijeee,ngoja wadada wa BADOO na AFROINTRODUCTION waamke utatumiwa picha mpaka utadata...ila CEO UMESAHAU UREFU labda nikusaidie atleast 5 feet kwenda juuu
  • machame

    machame

    15 October 2012 at 10:43 |
    mangekimambi
  • wifi ya mange

    wifi ya mange

    15 October 2012 at 10:55 |
  • kay

    kay

    15 October 2012 at 10:58 |
    haya haya mliokuwa mnatuma email mtafutiwe ndio huyo kapatikana mr j,mange utafanya watu wakimbie wanaume wao,kuna usemi usemao bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi,msije fikiri mkawa kama ceo mkimpata mr john,kila mmoja na fungu lake binaadam,kila la kheri atakaye bahatika
  • shoga

    shoga

    15 October 2012 at 11:22 |
    i wish ningekuwepo hapo shoga nami nijinyakulie kamoja tuuu
  • Ni mimi mwenyewe Mwala

    Ni mimi mwenyewe Mwala

    15 October 2012 at 11:52 |
    education no elimu, no John hahahahakanuna
  • Nity

    Nity

    15 October 2012 at 12:33 |
    hakunaga
    kama
    mukeya
    cheers
  • KILLER QUEEN

    KILLER QUEEN

    15 October 2012 at 12:36 |
    mngekua bongo ningekuja mara moja japo nina ki diploma najua mange ungenikubali 2..umenifurahisha sana eti nikikupenda lazima mambo yako yatakua safi
  • u turn masalia

    u turn masalia

    15 October 2012 at 12:53 |
    Kwi kwi kwi, tehe tehe tehe......................mangeblog
  • Ladida

    Ladida

    15 October 2012 at 13:26 |
    I like your dress...
    I doubt if John is serious, with a lot of Tz ladies in United States he should have one already...yes
  • RUKIA BINTI KASRI

    RUKIA BINTI KASRI

    15 October 2012 at 13:45 |
    daaaaa John ndo nishamkosa mm,angetoa hata nafasi moja ya ss tuishio sinza,au anaona kazi kuanza kutupimp mpk tuwe kizunguzungu, jamani roho yangu na nilivyompenda John, bs bwana ntapata mwingine inshallahpeace
    • bangili

      bangili

      16 October 2012 at 03:46 |
      lmao

      UWIIIII MBAVU ZANGU MIE....uturn oyeeeee
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 14:40 |
    Mimi nataka nijue zodiac sign ya john kabla sija apply...lol
  • livvy

    livvy

    15 October 2012 at 14:44 |
    Well let's see, i think I have the qualifications.aaahhhh.hongera mange.many more blessings to you.
  • TBL

    TBL

    15 October 2012 at 15:26 |
    Daah hata mimi natafuta mume jamani na niko Tz,akitokea wa Tz tuambie mana mume mtamu.
  • Nicole

    Nicole

    15 October 2012 at 15:48 |
    nini maana ya CEO kwi kwi kwi cheze muzungu changamkeni basi maana naona watu wamepagawaje?
  • Fahari mama wa ujinga

    Fahari mama wa ujinga

    15 October 2012 at 17:05 |
    haya wadada wa mujini naona kunazidi kunoga huku mtaani kwetu!
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    15 October 2012 at 17:05 |
    baby plz jibu emails za wateja jamani,,,au hutaki baby yako avae bongolicious...weka tu wazi nijue.kiss
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    15 October 2012 at 17:11 |
    baby nani kakununulia hiyo dress?mbona hujamtaja
  • Anonymous

    Anonymous

    15 October 2012 at 20:45 |
    We Mange tujibu msg za John bwana tujue nani kashinda. maana mi tangia jana nachungulia yahoo mail yangu every 5min nijue kama nianze kufungasha au la.
  • kasumokankisu

    kasumokankisu

    15 October 2012 at 23:03 |
    Yaani wadada wengine mko na akili fupi kiasi hicho kweli kushobokea wazungu au mnataka mume wa uhakika kukuoa? ni maisha gani hayo ya ndoa tunayataka kwa sababu ya rangi fulani?Hata Mungu mumemuweka kando kama hana nafasi kuwapigania kuwapa wanaume wa ukweli kuoana nao. Unajua hao wanaume wa kibongo tunaowabeza wana siri kubwa ya matatizo ya wadada wa kibongo?Ni vile tu wanaume wananyamaza kimya wangeamua kusema wanayokumbana nayo kwa wapenzi/wake zao hapa pangetimka vumbi.Sisi wanawake tuna midogo iliyowazi tunasme atu hata bila uangalifu kuwatukana wanaume wa kibongo.Ninyi wenyewe mlizaliwa na wabongo na mmekulia bongo leo eti ndo mnaona wanume hao si kitu.Na hizi talaka tunazishuhudia za kizungu huku ughaibuni zinatoka wapi kama wazungu ni waaminifu katika ndoa au mapenzi?Mke/ mume mwema hutoka kwa Mungu peke yake, ukimsaka mwanaume kwa rangi, bara au nchi utaokota kopo la kunyea mavi tu.
  • Anonymous

    Anonymous

    16 October 2012 at 01:27 |
    goodluck to me
  • KIPOPO ZAIDI

    KIPOPO ZAIDI

    16 October 2012 at 03:51 |
    licking
    jamnai NGOJA NIMALIZE SURGERY YA PUA NA MATITI, .maana pua yangu ya kipopo zaidi nisije nikamalizia pumzi JOHN WANGU kitandani
  • Anonymous

    Anonymous

    16 October 2012 at 11:37 |
    HAHHA NIMEPATA WEBSITE YAKO INASIFIWA SANA YAANI INAITWA STRESS FREE ZONE KAMA UMECHOKA FUNGUA KAMA UNA HASIRA FUNGUA NA ISSUE ZAKO ZOTE ZITATUMWA. KWELI HIZO NGUO ZA DOTS ZINANIKUMBUSHA KIBOSHO GIRLS.
  • pebo da great

    pebo da great

    16 October 2012 at 12:02 |
    hahahahaha, mange nimecheka kwa nguvu mpaka boss wangu ansema am going crazy. lolz.... John baby am hera for you
  • MJUSI

    MJUSI

    16 October 2012 at 16:37 |
    MANGE EMBU WATAFUTIE MABINTI ZENTI WAUME MPAKA WOTE WAISHE MAANA MIJANAUME YA KIBONGO HAIJUI HATA MAANA YA KUWA NA MKE,HAINA HESHIMA,MINYANYASAJI,MIBAILI,WIVU KIBAO,MITOMBI,EMBU WATAFUTIE WOOTE BONGO NZIMA.MPAKA WAJUTE KUZALIWA WAKAOE NGEDERE NA NYANI.
  • Anonymous

    Anonymous

    16 October 2012 at 19:24 |
    john mwenyewe..in 5 years atakuwa kibongeje!! anaonekana tu. sasa akitaka kimbaumbau nae aende gym asituletee hapa, nani anataka kulaliwa na uzito huo.
  • gud mummy

    gud mummy

    17 October 2012 at 15:59 |
    yaan nimecheka mpaka nikawa najiziba mdomo nisionekane chizi nacheka peke yangu!kweli nimeamini u turn is stress free!single lady ndio wakati wa kuwin hapo changamkieni dili,kila m2 na bahati yake huwezi jua inakukuta ktk mazingira gani
  • gud mummy

    gud mummy

    17 October 2012 at 16:03 |
    after changing name of u turn ,niiliitafuta cku mbili mfululizo siioni,mpaka kufika hapa mh! kweli mm penda u turn
  • Anonymous

    Anonymous

    17 October 2012 at 16:50 |
    Mange huyo John poa sana na mimi poa kishenzi tena zaidi ya hayo uliotaka, ila mimi ni MWANAMME vipi atanikubali?
  • mamaa mashauzi

    mamaa mashauzi

    17 October 2012 at 22:07 |
    nywele zoteeee na asilimia ya vitu vinatoka china utofauti ni matirio tu na bei kitu kinachoenda marekan ama uingereza akiwezi kupelekwa bongo kutokana na bei zk kuwa kubwa mpo?
  • Anonymous

    Anonymous

    18 October 2012 at 00:42 |
    jaman john. Mange acha ubaguzi. me penda john ila nipo Bongo.
  • MRS PAMPULA

    MRS PAMPULA

    18 October 2012 at 01:57 |
    YAANI MI NA MAUNENE YANGU NILISHASJISEMEA HATA SIAHANGAIKI NA WAZUNGU KUMBE NILIKUWA NAJIDANGANYA BWANA NINA ASSETS MUHIMU SANA KWANZA NYONYO ZANGU TU HUWA WAKIZIONA NA HAPO NAJARIBU KUVAA BRA NA KUMANIPULATE ZISIONEKANA KUBWA YAAANI KILA AINA YA WATU MUNGU ALIOUMBA WANAUME SI WAZUNGU WAAFRICA WAHINDI YAANI NIKIINGIA MAHALI HADI WANAWAKE WANANUNA MAANA KILA MTU ANATOKWA MATE HHAAAAAAAA HII MALI PAMPULA KESHAJIWAHIA MPENZI WANGU NI GONGO TU UKITOMBI WOTE ANAMALIZIA KWANGU TANGU HAPO SIKU HIZI COMFIDENSI IMEONGEZEKA MARA MBILI KUMBE NALIPA BWANA HATA KUPUNGUA I'M TAKING MY TIME SINA HARAKA NA NI JUST FOR HEALTH REASON OTHERWISE NINA HAKIKA I'M SEXY AND I KNOW IT LOL
  • Anonymous

    Anonymous

    18 October 2012 at 11:10 |
    good sexy lady thats the best comment i have ever seen!!!!
  • ME

    ME

    18 October 2012 at 15:27 |
    THIS IS HUMAN TRAFFICKING.....
  • POINT FIVE WA KIZARAMO

    POINT FIVE WA KIZARAMO

    15 October 2012 at 11:14 |
    mkereketwa una hasira inawezekana wewe ni mnene kupita mcheza sumo pole kwa kuwa diskwalifaihurl
    • Anonymous

      Anonymous

      16 October 2012 at 19:19 |
      da linda umerudi uturn?