02August

MUME BWEGE AU ????? LOLEST......

HEHEHEHHE

Comments (209)

  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    02 August 2012 at 07:14 |
    No No No Mange ni Mapenzi ya dhati lol !
    • forgot her name

      forgot her name

      03 August 2012 at 00:33 |
      wanawake nanyi mna mambo mkidekezwa mnamwita bwana bwege, akikupenda sana anaitwa mjinga mkipigwa tunaonewa sasa mfanywejee, hiyo picha kosa liko wapi yaone misura mibaya kama mnakunya baba la watu likifanya hivi mtaa mzima mtampachika jina hamjui kupendwa wala hamjui mapenzi yanafananaje mmezoea waongo wa mjini mnakopwa kila siku ukimpata mwanume wa hivi umwamkie na shikamoo ya magoti asubuhi
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 01:32 |
        POINT
    • Mugisha

      Mugisha

      03 August 2012 at 01:30 |
      mange sio heshima umemwita mume wa mtu bwege, rekebisha kicwa cha habari au umeona mbongo? acha dharau mamaa kuolewa na mzungu usidharau kaka zako
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 10:11 |
        We nae umetoka Bukoba kwa miguu nini? Mange hajadharua ni swali tu. watu mnajazba
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 13:11 |
        Mange kutoa hicho kichwa cha habari hakumaanisha kuwa huyo ni bwege au kamdharau mtu kwa kuwa yeye kaolewa na mzungu, kuolewa na mzungu its not an issue ni rangi tu sawa na wanaume wengine.

        Yeye alichotaka hapo nikutaka kupata comment kutoka ka viewers wake thats so. tuwe wepesi wa kuelewa sio kukimbilia kucomment tu mwe!
    • Naomba Msaada wenu Ndg zangu

      Naomba Msaada wenu Ndg zangu

      03 August 2012 at 05:18 |
      education

      Jamani kaka Moody,baby ya Mange, Marichui, Tajibeba,DHW,beautiful onyinye,C'mum na wana uturn wote naombeni msaada wenu nisaidieni kufanya hili swali. Nimeliweka ime liignore sio vizuri anaweza Hesabu anisaidie.

      Explain what type of discrete distribution you would use and calculate the probabilities.

      1. It is estimated that sharks kill 10 people each year. Find the probability that at least 3 people are killed by sharks this year.

      2. A basketball player makes his free throws 60.2% of the time. What is the probability that they first free throw he makes is his forth shot?

      3. Twenty-five percent of adults say they watch streaming movies on their phones at work. In a survey of 12 randomly selected adults, find the probability that between four and eight people (inclusive) have watched streaming movies on their phones at work.

      Naomba jibu please?
      • ngosha

        ngosha

        03 August 2012 at 09:45 |
        ntarudi baadae kidogohump
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        04 August 2012 at 07:28 |
        Unfortunately I cant help am busy withspermspermspermspermspermspermsorry
      • muddy washington

        muddy washington

        04 August 2012 at 08:39 |
        Hesabu za probability sizipendagi,niwekee za magazijuto hapo utanipata,sorry na sign out kimtindo,kesho boksi linaanza saa kumi na moja asubuhi mpaka tisa mchana,masaa kumi ya ukweli @16USD,Si "mseso"
        • kuntuafro1

          kuntuafro1

          04 August 2012 at 23:14 |
          3)Use a Binomial distribution since the experiment (people who have watched streaming movies on their phones at work) is repeated for a fixed number of trials (12 adults) and each adult is independent of the others. There are only two outcomes (adults who do watch streaming movies and adults who don't watch streaming movies) and the probability of success (25% of adults who watch streaming movies) is the same for each adult. n = 12, p = 0.25, x (number of people who watch streaming movies on their phones at work) = 4, 5, 6, 7, 8.
          P(4 ≤ x ≤ 8) = P(4) + P(5) + P(6) + P(7) +P(8)
          Using the calculator I find the probabilities:
          P(4) = 0.19358
          P(5) = 0.10324
          P(6) = 0.04015
          P(7) = 0.01147
          P(8) = 0.00239
          Now add up the probabilities to get the
          P( between four and eight people (inclusive) have watched streaming movies on their phones at work) ≈ 0.351.
          The probability that between four and eight people (inclusive) have watched streaming movies on their phones at work is approximately 0.351.
          mangeblog
          • Anonymous

            Anonymous

            05 August 2012 at 23:29 |
            tumekomaje sasa na maakili yako kintuafro1 humu waambie umbea wanaujua probability zote ya maana kama haya wote wamesepa big up kintuafro1thumbs up
    • BREAKING NEWS

      BREAKING NEWS

      04 August 2012 at 03:15 |
      Lisa Jensen afanya vizuri miss world CHINA ameingia KUMI BORA.Tuendelea kumuombea ali afanye vizuri kwenye mashindano ya Miss world yatakapofanyika August 18th.goodluck Lisa
    • Anonymous

      Anonymous

      04 August 2012 at 22:07 |
      Mange is a typical narcissistic person .narcissistic is on going pattern of grandiosity and need of admiration and lack of empathy for others .she have self love .mange get shock when she is not praised ,narcissistic person insist of having the best of everything .it is about image , external cues not. Internal quality .intense jelousy and temper if they don't get what they want how long will a husband continue to be with a narcissistic wife or girlfriend ?
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    02 August 2012 at 07:15 |
    yes Am sure same time Mama alikuwa anakarangiza ....blowkiss
  • c's mum!

    c's mum!

    02 August 2012 at 07:50 |
    mapenzi mange hayo, mapenzi kusaidiana! lol! kuna wanawake wana raha jamani, khaaaaaaaaaa!
    • 9ja Girl

      9ja Girl

      03 August 2012 at 00:23 |
      C'S MUM! kumbe huna raha, sasa tumejua nyumba imepinda hasira unazitolea humu uturn nilikua najiuliza huna mume wewe kila comment unatoa wewe pole mamimto kuna kipengele cha sheria kinaitwa divorce umeshakisoma?
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 01:37 |
        c's mum pole
        • c's mum!

          c's mum!

          03 August 2012 at 07:41 |
          RIP pumzika kwa amani!
          • Anonymous

            Anonymous

            04 August 2012 at 08:28 |
            bibi kama ndoa yako ishakua ndoano toka rudi kwenu makambako
      • c's mum!

        c's mum!

        03 August 2012 at 07:41 |
        RIP sijibizani na wafu!
        • maudodo

          maudodo

          03 August 2012 at 20:00 |
          ujumbe umefika, raha jipe mwenyewe dear
        • u turner muasisi

          u turner muasisi

          04 August 2012 at 08:27 |
          mbona umejibu sasa
      • anon

        anon

        03 August 2012 at 10:34 |
        c's mum ni golokipaz raha yake anayoijua ni uji wa kungu tu na kubondwa, raha aitoe wapi na mdomo mchafu ka jalala la kihindi, kula kulala huyu?
        • Anonymous

          Anonymous

          03 August 2012 at 20:09 |
          kula tano anon mdomo mchafu raha uitoe wapi, kabaki kusema kuna wanawake wana rahaa
        • c's mum!

          c's mum!

          03 August 2012 at 21:50 |
          vyeti vyangu vipo chini ya ghorofa! sina haja ya ajira mbwa wewe! NAPATA NITAKACHO MAJINUNI WEWE, KWANZA I DONT NEED TO EXPLAIN ANYTHING KWAKO,RIP
          • Anonymous

            Anonymous

            04 August 2012 at 04:19 |
            c's mum ugolikipa inanhuu? toka urefresh ideas
          • 9ja girl

            9ja girl

            04 August 2012 at 04:21 |
            Anon nimekupendajeblowkiss
          • u turner wa zamani

            u turner wa zamani

            04 August 2012 at 08:34 |
            leo unajichanganya kweli,wats wrong huko kwenye ndoa yako mama?unasema u dont need to explain wakati una explain,hivi vingereza vya british fountain vya ukubwani vina shida sana,mwali wewe usikasirika naona leo umeshikwa pabaya mpaka umegeuka judi matusi mpya,pole wee
          • anon

            anon

            04 August 2012 at 08:34 |
            ha ha haaaa unalo bibiiiii.. limekugandaaaaa lako hilo c's mum
          • MDUDU WA SIKIO ANAKERAJE

            MDUDU WA SIKIO ANAKERAJE

            04 August 2012 at 08:39 |
            tena we soon ndo utarest in peace kwa kipondo..... halo halo ya kisamvu cha kopo mamaaa c's mama! marifisi njoo msadie shoga ako kidawa huku yupo kikaangoni.
      • jino moja

        jino moja

        03 August 2012 at 15:08 |
        haaa u funny 9ja girl
    • JaCq!!ie

      JaCq!!ie

      03 August 2012 at 10:19 |
      right on C's mom....Kwa watu ambao wanakaa Nje they see this kind of stuff a lot...hamna sababu ya baba kuwa mkali hadi watoto wanakuogopa ..huwezi hata kuwapashia chakula moto kama mama yao hayupo..i salute huyo kaka ..na mtoto atakua kumpenda baba yake SANAAA..wanaume wakitanzania they lose touch, they are SO OUT OF TOUCH IT HURTS..they need to change..kumpenda mke wako na watoto sio kwamba wewe ni BABA MJINGA..its just love ..but you will be surprise how many people wako mbali na baba zao ..the comminication boundry is very far...AND THIS IS NOT THE WAY TO RAISE OUR KIDS..Lakini itachukua LONG TIME KWA KAKA ZETU KUBADILIKA
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 19:49 |
        WORD
  • Ghatty

    Ghatty

    02 August 2012 at 07:54 |
    KAMA WA MANGE VILE!!!!!!!!
    HA HA HA HA
    • Anonymous

      Anonymous

      02 August 2012 at 23:59 |
      Wa mange kazidi cause lance is closeted gay men using mange as a cover up
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 00:24 |
        POINT
        • Anonymous

          Anonymous

          03 August 2012 at 01:18 |
          Nyie itakuwa mlimtongoza akawatolea nje, wanawake wa Kibongo wanajulikana kwa kujitongozesha kwa waume za watu, wakishakataliwa ndio wanatoa hila zote hizo!
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 01:16 |
        Mmeona muatamie kabisa humu baada ya kijiwe chenu mlichozoea kutukana kufungwa. Wivu mwingine unatia aibu, mtafikiri mnamjua huyo Lance zaidi ya kumuona kwenye picha.

        Eee ninamiss matusi ya Judith, hivi angewatukanaje leo? Sipati picha hayo matusi yake!!
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 01:16 |
        Mmeona muatamie kabisa humu baada ya kijiwe chenu mlichozoea kutukana kufungwa. Wivu mwingine unatia aibu, mtafikiri mnamjua huyo Lance zaidi ya kumuona kwenye picha.

        Eee ninamiss matusi ya Judith, hivi angewatukanaje leo? Sipati picha hayo matusi yake!!
  • Mshamba

    Mshamba

    02 August 2012 at 08:09 |
    Jamani kama mama ndiye mwenye kazi na baba anasaidia ili wapate kipato je? Mimi sikubaliani kwamba huyo ni mwanaume bwege kama kwelie mwanamke ameenda kutafuta maslahi.

    Kule Mabagala, Temeke utakuta barabarani ni akina baba wanasaidia wanawake wao kubeba mtoto na mama kabeba pochi. It is soo sweet. Hukuti haya mambo huko uzunguni Masaki, Mikocheni na Mbezi beach ingawaje inaeleweka kuwa wao watakuwa na dada "nanny" wa kumuangalia mtoto muda wote.
  • mamito

    mamito

    02 August 2012 at 08:12 |
    mapenzi hayo jamani mi natamani nimpate kama huyo yaani kila cku angekissmyass yaaani ni fullbrokenheart napopchampgne lakin wa siku hizi wabishi haoooooooo tena atokeeeeee kule..........kila sikuchase halafu usikuhump yaani balaa+
    freedom
    • mama t

      mama t

      03 August 2012 at 23:03 |
      hilo nalo neno
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 08:18 |
    Mabwege hujawaona?Huyu anatambua wajibu wake na pia Ana upendo kwa mwanae. Mi nafagilia hawa kuliko wahongaji..kanuna
  • kuntuafro1

    kuntuafro1

    02 August 2012 at 08:21 |
    Sio bwege ni ishara ya upendo!
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 08:22 |
    mapenzi babu
  • ngosha

    ngosha

    02 August 2012 at 08:32 |
    thats what we call L.O.V.E
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 08:47 |
    Siyo bwege, ni mapenzi na kujali.
  • Mama maendeka

    Mama maendeka

    02 August 2012 at 08:53 |
    Huu ndio upendo wa dhati. Hapo ndio wanashare majukumu.
  • Dee

    Dee

    02 August 2012 at 08:53 |
    NOW U ARE INVADING PEOPLE'S LIVES -MIND UA OWN P's AND Q's, THATS NOT YOUR FREAKING BUSINESS, THE WIFE COULD BE SICK OR ON BED REST AND HUBBY DECIDED TO HELP OUT- HAVE U THOUGHT ABOUT THAT ?
    MWENYEZI MUNGU NDIO KAPEANA RIZIKI USIMCHEKE MWENZIO (REMEMBER THIS IS THE HOLY MONTH ) IF THIS GUY HAD IT ALL HE WOULD HAVE EMPLOYED A HOUSEGIRL...THERE ARE TWO SIDES OF A COIN... IF UA WISE BRING DOWN THIS POST.

    BE BLESSED
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 00:03 |
      Mange was born to bully people I feel sorry for her husband " lance you need to loose weight ,lance I want this ,lance my father loved me so much ,lance people are jelousy of me ,lance I want a house .kutwaaa mange kumbully mumewe
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 01:40 |
      Well said Dee
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 13:05 |
      point
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 22:13 |
      thumbs up ! well said
      walalamika watu kuingilia maisha yako , wewe hapo wafanya nini .....u should be ashamed of that!!!!
  • muddy washington

    muddy washington

    02 August 2012 at 09:03 |
    Hii kitu watu wanaichukulia poa but iko very serious na kwa afrika mashariki huko kwetu kenye hali ni mbaya sana kwa kina baba,Huko Kenya Wanaume nchini humo wanapanga kugomea vyakula vya mabibi zao kwa siku sita kutokana na kuongezeka kwa visa vya wanawake kuwapiga mabwana zao.

    Badala yake wanaume watakuwa wakila mahotelini na magengeni.
    Mwenyekiti wa Chama cha maendeleo ya Kina baba Nderitu Njoka amesema mgomo huo wa siku sita una lengo la kuwashinikiza wanawake kukoma kuwanyanyasa na kuwapiga waume zao.

    Kiongozi huyo Nderitu Njoka amesema kuanzia leo jumatatu ataanza kampeni ya kuwashawishi akinababa kula mahotelini badala ya majumbani mwao.

    Mwenyekiti huyo wa maendeleo ya wauaume alikuwa akizungumza katika hospitali kuu ya mjini Nakuru huko Rift valley ambako alikuwa amekwenda kumliwaza baba mmoja ambaye amelezwa humo kutokana na kipigo alichopewa na mkewe.

    Baba huyo akizungumza kwa uchungu hospitalini alisema mkewe alimuita nyumbani it akachukuwe pesa kabla ya kumfungia chumbani na kumtandika.
    Kwa muujibu wa bwana Nderitu Njoka, mkoa wa kati nchini Kenya ndio unaongoza kwa idadi ya akina baba wanaopigwa na bibi zao.
    Katika mkoa huo wa kati wanaume karibu nusu milioni wameripoti kutandikwa.
    Chama hicho cha wanaume kimedai kuwa kuna wanaume ambao wanalazimishwa kufua nguo za wake zao.Wengine pia wamedai kunyimwa tendo la ngono na mabibi zao.Jijini Nairobi wanaume ambao huona kivumbi kutoka kwa wake zao ni laki tatu.
    Lakini baadhi ya akina mama kutoka mkoa huo wanasema akina baba ndio wa kulaumiwa kwa kushindwa na majukumu yao ya kifamila.
    Wanasema waume wangi wamekuwa waume suruali tu.
    gonga hapo chini ujionee mwenyewe
    http://www.youtube.com/watch?v=sLvafgTRFtI&feature=player_embedded#!
    • Kijaruba

      Kijaruba

      03 August 2012 at 00:02 |
      Ni kweli watu wanafikiri ni mapenzi, pengine mkewe yuko pembeni na kiboko. Nina rafiki yangu Mkenya siku moja mkewe alichemsha maji ya moto ili amwagie Mungu akamlaani akajimwagia mwenyewe akaungua mkononi. Yaani huyo baba ana tabu ya dunia kila siku kufanyiwa visa na kuitiwa polisi. Mwanamke ni kula kulala na kwenda kazini tu, hata siku haendi kazini wala haangalii mtoto wala hampeleki shule na kumfuata. Chezea wanawake wa Kikenya ndio maana siku hizi wanaume zao wanakimbilia Bongo. Mange weka ile picha ya yule mume yuko hospitali na hogo lake iko kwenye google!
      • muddy washington

        muddy washington

        03 August 2012 at 04:11 |
        Ukitaka kumjua mwanamke halisi wa kenya mtazame hapa Ruth kibaki kushoto kwa mzee akimlazimisha mzee aikane "nje cup" yake mbele ya media..
        http://www.youtube.com/watch?v=wSlTW8mjirs
        • Mjinga Mjinga

          Mjinga Mjinga

          03 August 2012 at 08:59 |
          rolling on the floor Haahahaa kaka Mudy nimecheka Lucy alivyosimama pembeni utasema alikuwa anasubiri tuu jamaa aropoke ampeslapping na kwa jinsi alivyokuwa anahemea juju inaoneka huko home kuliwaka ile mbayaaa hahahahalaughinglaughing chezea kenyan woman
        • Doreen

          Doreen

          03 August 2012 at 10:31 |
          Duuuh... huyu Mama anatisha. Mimi niko huku mbali lakini siwezi kumkaribia. Anaelekea ni mkali sana Ruth.
        • Anonymous

          Anonymous

          03 August 2012 at 11:11 |
          Am from Kenya and huyo mwanamke mwenda wazimu 101% hana dawa huyo
      • xxxxx

        xxxxx

        03 August 2012 at 09:45 |
        kunya anye bata akinya kuku kaharisha, kama wanataka kukemea ukatili iwe ni pande zote mbili sio ionekane kama mwanamke ndo anastahili kutreatiwa vibaya, wote ni binadamu tupendane tusaidiane tuoneane huruma
  • Stellah

    Stellah

    02 August 2012 at 09:06 |
    hahahahah, wala sio bwege ni mgawanyo wa majukumu tu na anajua wajibu wake.
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 09:14 |
    why if a woman doing all those stuff is not woman "bwege"?? the man is not bwege is just helping his wife while she is at work or probably she passed away, lots of factors can lead to be like that man.So he is no bwege.
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    02 August 2012 at 09:16 |
    UYO MWANAMKE WA KUMFANYA HIVI MUMEWE BASI HAMPENDI KHA!!wtfmad
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    02 August 2012 at 09:17 |
  • Chaunabe

    Chaunabe

    02 August 2012 at 09:52 |
    Mange ngoja baba kenzo nae akianza kukupikia huko na kufanya kazi za ndani ndio utaona kawaida na ni wajibu kwa mwanaume kumsaidia mkewe kazi za nyumbani, kwa wenzetu ni kawaida tuu ingawa kuna wale wa kama kwetu Africa pia. Sasa baba ataoneka kalishwa limbwata kumbe anamsaidia mkewe au pengine mkewe mgonjwaraised eyebrows Mie wangu bega kwa bega napika ye anapiga deki nikiwa nangalia watoto ye anafua mambo kusadiana tusichoshane sana tukashindwa wajibika uwanjanihump
    • muddy washington

      muddy washington

      04 August 2012 at 08:52 |
      mnashangaa hiyo u turnerz wa muda mrefu nadhani wanakumbuka kuna u turner mwenzetu mmoja nadhani ni yule Joyce mke wa mzungu wa norway aliwahi kutuletea picha hapa zikimuonyesha mzungu wake akiwa nae jikoni sijui chumbani sikumbuki sawa sawa lakini nakumbuka walikua wakisukana nywele yani shemeji mdhungu akimsuka nywele dada joyce
      • SEMENYA

        SEMENYA

        05 August 2012 at 02:25 |
        duuuh, unakumbuka moody, joyce metgard alitundoshea za husbando akimshonea weaving watu humu walichonga ile siku nilicheka mbaya, hayo ni malovee tu. moody na wewe unajua kusuka japo tatu kichwa?!
  • unnown

    unnown

    02 August 2012 at 09:56 |
    Huyo wala si mume bwege ni mume muelewa. kaamua kumsaidia mkewe. ingekuwa ni mudhungu kabeba hivyo mngesema mume bwege?
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 01:43 |
      nimekupendaje mapenzi ndio haya sio viatublowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 10:22 |
    Sio bwege, mambo siku hizi ni kusaidiana maisha yamebadilika sana, pengine hapo mama ndiye anayepiga mzigo baba hana kazi au mama hayupo yote heri tuu! ila ndio maisha ya kisasa kusaidiana, masuala ya usawa hayo...... mpo kina mamaaaaaaa
  • KADADAA

    KADADAA

    02 August 2012 at 10:30 |
    SIO UBWEGE BANA HAYO NI MAJUKUMU YA MKE NA MUME NA NI LAZIMA KUSAIDIANA KAMA MMEKUWA MWILI MMOJA NIMEIPENDA HIIblowkissnewpost
  • lilian bitegeko

    lilian bitegeko

    02 August 2012 at 10:31 |
    mh hard to judge
  • DOGO MANGE

    DOGO MANGE

    02 August 2012 at 10:35 |
  • l.g

    l.g

    02 August 2012 at 10:39 |
    baba uko juu na kinachotakiwa the kid is so pretty

    Hongere baba
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 00:39 |
      POINT
  • Mdau USA

    Mdau USA

    02 August 2012 at 10:42 |
    Sio ubwege ni mapenzi tu kwani mwanamke kupendwa sio material tu, I like that kind of men.
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 01:42 |
      asante mdau USA ubarikiwe
  • LINNA

    LINNA

    02 August 2012 at 10:52 |
    i like ur blog muke ya muzungu.
    well, am so happy kumuona that man caring mtoto n kufua, he reminds me of my husband. the thing is that, its about love,feelings to the wife rather than being mwanaume bwege,imagine a woman goes to work and the husband is just at home, why not helping the wife kama kweli una mfeel
    • Dada d

      Dada d

      03 August 2012 at 12:32 |
      newbie Huyo mkaka Ana huruma na familia yake hapo utakuta yeye na mkewe ni wafanyakazi sasa wamerudi home wamegawana majukumu
  • If Not Why Not.

    If Not Why Not.

    02 August 2012 at 10:55 |
    Hayo ndo mapenzi. Nimempenda huyo mtoto, Black & Beuty.
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 11:12 |
    No sio bwege, these day tumekuwa tukidai usawa so naye kama baba na alichangia kumleta mtoto duniani anapaswa kutekeleza hayo anayoyafanya!
  • koku

    koku

    02 August 2012 at 11:15 |
    mume bwege kibongobongo. ulaya ni mapenzi tuu!sonya
  • Jasmine

    Jasmine

    02 August 2012 at 11:16 |
    Magge hii ni malove jamani mbona wazungu huwa wana babysitter watoto wao jamani lol, this is true Love and to help each other in the house is normal nowdays haswa kwa sisi wanawake vijana na wasomi kusaidiana ndo ma-love yenyewe Magge. Baba Kenzo pia huwa ana babysittter najua siku nyingine kha! Love it wanaume wa kibongo igeni huu mfano mzuri.
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 17:15 |
      SIO MAGGE NI MANGE, UMEKOSEA MARA YA KWANZA NIKAJUA NI TYPING ERROR, UVOKOSEA MARA YA PILI NIKAGUNDUA WEWE NI MGENI HUMU NDANI WALA USIBISHE..NA MTU AKIKAA NA MTOTO TUNASEMA ANA BABYSITT SIO ANA BABYSITTER. BABYSITTER NI YULE ANAEKAA NA MTOTO NA KUBEBISITT NI KITENDO. UPO HAPO..RAHA YA KUCHANGANYA LUGHA, MATOKEO YAKE KILA KITU KINAKUWA SHAGHALABAGHALA..WA WAPI WEWE?
  • makerubi

    makerubi

    02 August 2012 at 11:32 |
    sio bwege kabisa. Hayo ndo maisha yanapaswa kuwa mfumo dume umepitwa na wakati kwani wanaume wamezoea kila kitu kufanyiwa kazi kukaa sebuleni kusoma magazeti na kuangalia tv wanasubiri kuitwa bafuni, chakula nk. Mwanaume wa tabia hii anapaswa kuigwa na wanaume wote ulimwenguni sio kila kitu ni mwanamke tu ndani ya familia, lazima amsaidie mwanamke kazi. kama wote wangekuwa hivyo oh nahisiblowkiss maana kazi tunayo wanawake. HUYO ANAJUA UMUHIMU WA MWANAMKE KATIKA FAMILIA, YEYE KAMA BABA ANAPASWA KUMSAIDIA MAMA BAADHI YA KAZI ZINGINE KAMA HIVYO. Mh katoto kazuri jamani tena kana afya ile mbaya, kama sikosei baba kama bounsa vile maana kifua duh simchezo kazi anaiweza.cheers
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 11:41 |
    Single father!
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 12:27 |
    mmmh hilo jasho sasa!
  • 93

    93

    02 August 2012 at 12:33 |
    Ubwege kum-beba mwanao??????
    Ubwege kumsaidia mkeo??????
    Yani mwanaume asosaidia kwa ujumla ndi bwege mtozeni mkubwa! Wacha waje Wenzie wanojua mahaba ni kusaidizana ndani ya nyumba na si kufunga mkanda kiunoni na kung'aa sharubu!!! Shuwaini!
    Kwanza usipokuwa bwege kwa mkeo unataka ukawe bwege kwa hawara au?????
    Asante yesu mumewangu anasaidia ila naona wanawake wenzangu wanavyotaabika mchana na usiku Pia!
    • Mshamba

      Mshamba

      03 August 2012 at 06:28 |
      Can I get an Amen?!
      • forgot her name

        forgot her name

        03 August 2012 at 20:15 |
        AMEEN
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 22:23 |
      Cheers, cant add or subtract anything
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 13:03 |
    sio hata mume bwege kwani baba kenzo hawezi fanya hivyo? mange i though your a woman of today kumbe bado sana i love you but leo umeniuthi.. kama hujaolewa na mzungu?
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 01:47 |
      asante dada mange anajua mapenzi ni kununuliwa CL tu
  • naila

    naila

    02 August 2012 at 13:23 |
    sio bwegwe labda mke wake anaumwa maisha kusaidiana
  • NEEMA PETER

    NEEMA PETER

    02 August 2012 at 13:35 |
    Hi
    Mi naona ni vizuri tu mume kusaidia kazi jamani naona imekaa poa.
  • folowa

    folowa

    02 August 2012 at 13:40 |
    Hata mapenzi uu bwana, ukiongea naye vizuri mbona hata bakenzo anaweza,
  • folowa

    folowa

    02 August 2012 at 13:44 |
    au ni jinsi ya kuonyesha mapenzi kama wengine avyoweza kukuspoil kwazawadizabei mbaya nae utamwita bwege? , huyu akiwanazo walah ndegeanakununulia
  • Village mrembo

    Village mrembo

    02 August 2012 at 13:45 |
    THE definition of a real man (bows)
  • BEAUTIFUL

    BEAUTIFUL

    02 August 2012 at 14:03 |
    huyo yupo kifamilia zaidi nikimpata huyooo hahahahah simwachiii hataaaacheerslove
  • Anon

    Anon

    02 August 2012 at 14:06 |
    Siyo mabwege labda ni makubaliano tu au mapenzi tu. Si ndo ukisasa zaidi au nakosea??goodluck
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 14:20 |
    hakuna cha mume bwege dada Mange ila ni kusaidiana majukumu tu
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 14:35 |
    nimeipenda sn,ni moja ya ushirikiano na kujjenga familia bora yenye kufikiriana,na sio mume bwege
  • kwatariq.com

    kwatariq.com

    02 August 2012 at 14:38 |
    co bwege ana upendo uliopitiliza kwa mkewelaughinglaughinglaughinglaughinglaughing
  • mama S

    mama S

    02 August 2012 at 14:51 |
    jamani labda mkewe anaumwa sasa hapo anamsaidia kazi kwikwikwikwi
  • Moscow Mujini

    Moscow Mujini

    02 August 2012 at 15:06 |
    mwanaume wa kisasa. kuijali familia (pamoja na mkeo) sio lazima uwe tajiriheartheart
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 15:08 |
    ni mapezi mazuri na ya dhati kwa mkewe

    yawezekana pia mkewe alikuwa mgonjwa akaamua kumsaidia
  • Anonny Mom

    Anonny Mom

    02 August 2012 at 15:14 |
    Mange nimesikitika kidogo kichwa cha habari na kicheko chini yake..

    This is a very daring man - especially an African man. Gender critics would have given him a certificate of best practice in changing gender roles. I aplaud him because we dont not see it everyday. But... you may be suprised to note that its a common site in villages where hospitals are far. Many young fathers carry their sick children to hospital to relieve their wives and be able to walk faster to reach help!!! Wanaume wengi wana upendo kwa watoto wao and they would actually like to do more but fear the eye of the society .. kuitwa bwege au kuonekana wake zao wamewawekea juju.whew!

    Sio bwege dear!
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 01:50 |
      mange leo umenisikitisha
    • Mshamba

      Mshamba

      03 August 2012 at 06:32 |
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    02 August 2012 at 15:28 |
    lol that baby is so cute!,,,baby saivi maisha yamebadilika bana mambo kusaidiana mambo ya ukale kwamba kila kitu ni mwanamke afanye yameshapitwa...lol au kwa vile kambeba mgongoni na kanga wazawa kibao huku wanabeba wanao na zile carrier wanaenda shopping etc wanapush mapush chair kila mahali wanaume na hadi nyumbani wanasaidia dishes....kwa upande wangu kama hii kweli inatokea bongo basi wanawake tumeanza kuwa juu....
  • romeo

    romeo

    02 August 2012 at 15:30 |
    ni mapenzi tu ambayo baba anakuwa nayo kwa mtot weake na mkewe pia maisha kusaidiana jamani hakuna ubwege hapoblunt
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 15:32 |
    angekuwa mume wangu huyo nisingeangalia pembeni ningempenda mnooo safi sana
  • cute

    cute

    02 August 2012 at 15:37 |
    he is not mume bwege mange!!!Lol, on my opinion, i think this man loves his wife too bad, we call this love,,, might his wife sick or she is working in the other jobs, that's way he decided to help her. so MANGE this is an usually don't be shocked please.
  • mimi

    mimi

    02 August 2012 at 15:59 |
    Akifanya mzungu... "i have a wonderful husband ever...!" akifanya mwafrika eti mume bwege...
    Mh! yetu macho
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 00:41 |
      Mange anababaika na muzungu
  • MISS KIJAMBIO

    MISS KIJAMBIO

    02 August 2012 at 16:35 |
    Hahahaha haki sawa kwa wote,
  • bimkora

    bimkora

    02 August 2012 at 16:36 |
    mkewe kaenda mjini saka tuma,naimba tu.....very helpfull man god bless him.thumbs up
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 16:54 |
    mapenzi hayo, si kila kitu mwanamke mamaee
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 17:16 |
    Mgawano wa majukumu bwana
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 17:16 |
    Kweli hakunaga
  • maudodo

    maudodo

    02 August 2012 at 17:33 |
    majukumu kusaidiana jamani, ukute mke ndo anafanya kazi, so mume yuko tu nyumbani inabidi kubana matumizi asaidie kazi haina haja ya kuajiri dada..... heheheeeee
  • Lulu

    Lulu

    02 August 2012 at 18:03 |
    Good dad mpende mkeo safi sana nimeipenda hiyo and i wish wote wangekuwa hivo.
  • kay

    kay

    02 August 2012 at 18:42 |
    kwa fikra za wengi wetu tukiona mume anayafanya hayo tunasema kalishwa limbwata,kumbe wala ni mapenzi,wenzetu mume kufanya kazi za ndani ni kawaida sana,sema utamaduni huo sisi ni wachache sana wenye nao.
  • brother kay

    brother kay

    02 August 2012 at 19:26 |
    Wala huyo si mume bwege, karne hii maisha kusaidiana bana, sasa labda yeye yupo likizo na mke wake karudi kazini hiyo kazi ya malezi ya mtoto nani afanye? huyo ni DUME LA MBEGU anayeishi kivyake vyake, nampa Hi 5!!!!!!!!goodluck
  • brother kay

    brother kay

    02 August 2012 at 19:26 |
    Wala huyo si mume bwege, karne hii maisha kusaidiana bana, sasa labda yeye yupo likizo na mke wake karudi kazini hiyo kazi ya malezi ya mtoto nani afanye? huyo ni DUME LA MBEGU anayeishi kivyake vyake, nampa Hi 5!!!!!!!!goodluck
  • Uturn Addict

    Uturn Addict

    02 August 2012 at 19:41 |
    hakunaga wa hivy siku hizi ceo

    ye abebe mtoto halafu mke awecheers
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 20:43 |
    Sidhani kabisa huyo kaka ni bwege, ila naweza sema ni mwanaume mwenye utu,nidhamu ni kujitambua maana kuwa mwanaume haimaanishi huruhusiwe kumbeba mtoto mgongoni au haimaanishi huruhusiwi kusaidia kaazi za nyumbani,Bwege ni wale wanaotaka kuchomekea 24/7 hawajui utaratibu wa nyumbani unaendeleaje. so I give this man two thumbs upblowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 20:46 |
    why would you even put the two together though?? Mume Bwege??? absolutely not, I wish there would be more men like him around! i wisho more men would look at him as great family men and not otherwise! Mabwege ni wale wanaotoka maofficini nakukimbilia nyumbani ku flip tv channels bila kusaidia kaazi za kwa nyumba. this man is faboulous if u ask me.thumbs up
    • Anonymous

      Anonymous

      02 August 2012 at 22:39 |
      Akili ya mange mume bwege.,wazungu ndio wenye thamami waafrika hawajui malezi.nimeolewa na mzungu lakini mange anatufanya wenzake tuliolewa na wazungu kuonekana malimbukeni na golddigger
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 01:53 |
        well said
        • Anonymous

          Anonymous

          04 August 2012 at 01:02 |
          mi nimeolewa na sina kazi, ila mume wangu tunasaidiana kila kitu, kama takataka na kazi yake yeye sigusi mimi, na nikifanya kila kitu analalamika anataka naye asaidie, sometimes anarudi kutoka kazini anapika na vyombo mmoja anaosha mwingine anafuta na kupanga, siyo mume bwege wala nini, melewano tu. hujaonja raha ya ndoa bado, love is not about money and expensive gifts, its about small things we do to one another.
          • Anonymous

            Anonymous

            05 August 2012 at 19:29 |
            m/ , very well said!
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 20:48 |
    mwanaume ka huyu ni dhahabu maana hapatikani kirahisi aiseee! aliyempata huyu amshukuru mungu sana. mijiwanaume ya sikuhizi inataka kunywa,club na kukimbizana na skirt barabarani, wengine umbea tu kama mabinti! huyu ni dume la mbegu aiseee!licking
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    02 August 2012 at 21:36 |
    winking c's mum vipi Shem anaweza kuapply hii ! hahaha nimekumisije sasa WAZIRI WA UKWE'E ....hahahaa Wapi Taji Waziri asiye na Wizara Maalum ...call me
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 00:56 |
    • c's mum!

      c's mum!

      03 August 2012 at 07:52 |
      lmao afanye saa ngapi?? ye kutwa kwenye madeal yake! akirudi anacheza nao dk 5, kwaheri! lol, kaazi kwel kwel! mzima weye best angu jamani!
  • HOLD YOUR TEARS

    HOLD YOUR TEARS

    02 August 2012 at 22:40 |
    Possible mkewe ni mgonjwa, ama mkewe amefariki ye ndo anamlea mtoto wake so picha hiyo inakuwa na story kibao nyuma yake huwezi kuijibu moja kwa moja
  • Naomba Msaada wenu

    Naomba Msaada wenu

    02 August 2012 at 22:43 |
    off topic

    Let's get back to calculating some probabilities, explain what type of discrete distribution you would use and calculate the probabilities.

    1. It is estimated that sharks kill 10 people each year. Find the probability that at least 3 people are killed by sharks this year.

    2. A basketball player makes his free throws 60.2% of the time. What is the probability that they first free throw he makes is his forth shot?

    3. Twenty-five percent of adults say they watch streaming movies on their phones at work. In a survey of 12 randomly selected adults, find the probability that between four and eight people (inclusive) have watched streaming movies on their phones at work.

    Naomba jibu please?
    • Mshamba

      Mshamba

      03 August 2012 at 07:16 |
      Dada sijui kaka, wengine tulisoma statics 19 years ago in Uni na baada ya pale sikutaka kusikia tena neno "probability". Nakumbuka lile ndio darasa pekee tulikuwa tunafanya mtihani kweny computer. Ukiingia tu unakuta floppy disk pembeni na mwalimu akisema "start" kila mtu anaweka floppy yake aliyoikuta kwenye Apple compluters (siohizi za sasa, very very old model lakini wakati ule ndio zenyewe).

      Lakini hebu nijaribu nione kama baada ya miaka 20nakubuka chochote. 1st question. If estimated 10 people, probablity of 3 people will be 333.3% i.e. 10/3. 2nd question nachemsha kwenye jibu lakini kama ni 60.2% akitupa 6.6 times 4th time atapata free. I will go with 15.05% probability. 3 rd question, I think that the probability inclusive will be 50%, I got this by getting a probability of 4 up to 8 inclusive then I added all of the probabilities and divided 5 since 4-8, there are 5 numbers (to get an average probability). My dear don't follow my answers since I did this 19 yrs ago and I do not remember a thing, go and double check them.
    • Muke Ya Albino

      Muke Ya Albino

      03 August 2012 at 08:52 |
      Me hesabu shule nilifeli so hapo simo kabisaaaaa. Next time wekaoff topic
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 17:41 |
      bwana ebu tutokee hapa ni hizo probably zako aah. sie tumekuja hapa ku enjoy na sio kukalishwa tena darasani ku calculate. mwambie mume wako au mke wako akusaidie tutokee umu ndani. hii siyo sehemu ya hayo mambo eboo..umepotea njia?chase
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 17:47 |
      KWENDAAA..JIBU KAOMBE KWA BOY FRIEND WAKO.. TOKAslapping KUJIFANYA MSOMI HUNA LOLOTE..WATU WENGINE BANA..UMEKOSA SEHEMU ZOOOTE NDO UJE HUMU? UPUUZI MTUPU..
      • Asante dada angu kwa jibu lako

        Asante dada angu kwa jibu lako

        03 August 2012 at 22:17 |
        You don't need to be rude woman, I posted it ili mwenye upendo anisaidie,Eti najifanya msomi are you serious?????????????????? ulitaka niombe ushauri kwa kimapenz ndio uone wa maana!!! Please kama hupendi shule tuache tunaopenda,hivi watu wengine mkoje lakini???

        Anyway MSHAMBA thank you so much kwa jibu lako at least umenipa mwanga will try to work on it.
        education
        • Muke Ya Albino

          Muke Ya Albino

          04 August 2012 at 09:07 |
          Yaani wahumu ndani inabidi uwazoee ukikasirika utajizeesha bure... That's why some of us we are in love with da blog coz of vijimambo na vijimaneno maneno vya wadau.
      • Anonymous

        Anonymous

        04 August 2012 at 04:30 |
        thumbs down hakusoma huyu mkali pilipili haifai
    • Mshamba

      Mshamba

      03 August 2012 at 19:31 |
      Nimejaribu kukupa majibu Mange ameyabania.
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 22:50 |
    IT SHOWS HOW STUPIND YOU'RE...
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 23:05 |
  • NewYork Chick

    NewYork Chick

    02 August 2012 at 23:21 |
    This is soooooooo sexy....a man who does not need to prove that he is one. If he was my husband I would give it to him every minute! We need more African men like this. Baba zebu hata kuchemsha chai hawajahi...shameless.
  • Kijaruba

    Kijaruba

    02 August 2012 at 23:55 |
    Huyo mwanaume wenziwe watamuita Bushoke, yaani mume bwege ingawa kwa kweli kihali halisi maisha ni kusaidiana lakini kimazingira watu watamuona huyo mume kakaliwa kichwani na mkewe au kalishwa limbwata.

    Subiri sasa mama yake au dada zake wamkute hapo anafua na mtoto kambeba mgongoni mbona mkewe atakiona cha mtema kuni? Tena wengine utakuta wanatamani waume zao wawe kama hivyo lakini wakikuta kaka zao wanawasaidiana wake zao wanakuja juu ka moshi wa kifuu.

    Kiukweli kila mwanamke anatamani mume wa hivyo lakini jamii ilivyotuweka sivyo, mambo hayo labda uyafanyie huko huko majuu lakini sio Bongo hukawii kwenda kupigiwa ramli kwa waganga kuwa umemroga mtoto wao!! Lakini hao hao wanasahau kuwa watoto wao waliooa wanawake wa kizungu huku majuu wanafanya hivyo hivyo japo wanabeba watoto kwenye siturola au pushichair!
  • Nai Nai

    Nai Nai

    03 August 2012 at 00:19 |
    Mmhh! Mie ninashangaa sana na maoni yenu wajameni, hapa humu ndani wote tunasema ni mapenzi hayo kusaidiana majukumu. Lakini sisi sisi tuko mbele kuwasema wanawake wenzetu kuwa hawapiki sijui wanapenda kula mahoteli sijui hawajui kupika au wajifunze kupika.

    Pili kama hali tunayoiona hapo tunaipenda mbona mafunzo kwenye kitchen party hayabadiliki? Kila siku tukiwa nafasi ya kuwapa neno wasichana wanaotaka kuolewa lazima tuwasisitizie kazi za ndani, mwanamke hivi mwanamke vile, usiache msichana wa kazi akafanya hivi au akafanya vile ilhali tunajua kuwa kaajiriwa na akitoka asubuhi arudi jioni akifika ndani aingie kumpikia mume kwa mikono yake na usiku amuhudumie kitandani. Sijawahi kusikia kwenye kitchen party msichana anaambiwa ukichoka mwambie mumeo akusaidie kazi anazoweza kufanya ili usijechoka ukashindwa kufanya kilichokupeleka. Tunatoa msisitizo kwa kazi za ndani na kusahau kinachompeleka msichana mule ndani sio kazi za ndani, ni kazi moja tu, nayo ni tendo la ndoa, warithishane tani yao ili wasitoke nje ya ndoa.

    Kuna mabegi party siku hizi, nazo sijasikia mwanaume anaambiwa kazi za ndani ni zenu wote maisha kusaidiana, kama ambavyo mnavyosaidiana kutafuta pesa. Yote tisa tunawajibika kweli kubadilisha hii hali kwa kuwafunza watoto wetu kuwa kazi hazina gender? Mimi watoto wangu wote wakike na wakiume wanafanya kazi zote mpaka kupika. Na huyu mdogo wa miaka miwili wa kiume analea mdoli wake anambeba kwenye stroller, anamlisha anamvisha, na anachezea magari vile vile. Najua mwanamke atakayekuja kuolewa na mwanangu atapata raha sana, kwa sababu ndani ya nyumba yetu hakuna gender division of labour. Tunaweza kubadili kikazi kijacho tukiamua!
    • Muke Ya Albino

      Muke Ya Albino

      03 August 2012 at 08:50 |
      Naomba kuwa mama mkwe I have a very beautiful girl ... ... mawaidha nimeyapendawaveswaveswaves Pia jamani tusisahau "it makes two to be parents"
    • Anonymous

      Anonymous

      04 August 2012 at 05:29 |
      hakunaga kama wewe nai nai nimekupasisha dear una busara sana
  • Wellcome To Miami

    Wellcome To Miami

    03 August 2012 at 00:19 |
    Huyu kafiwa na mke wake pesa ya kumweka housegirl hana inabidi apige mzigo mwenyewe. Mbona ulaya single father wanalelea watoto wao bila hata housegirl kila mahali wako nao? Ila kaka zetu wakifanya hivi kalogwa mmmm! 2013 soon wake up woman....Mtabaki mnalea watoto wenyewe adi lini? usiku bwana akirudihump halafu unasema unapenda khaaaaawhitch
  • Independent Girl

    Independent Girl

    03 August 2012 at 00:47 |
    No offence to anyone, ila kama mwanamke hataki kufanya kazi anataka kuchuna tu, then ofcourse ata ona huu ni ubwege. Ila this is what should be in a marriage, wote wawili kusaidiana. Kama baba yupo of work then anaangalia mambo ya nyumbani, kama mama yupo of work then yeye anaangalia mambo ya nyumbani.

    Kuoa au kuolewa si kumfanya mwezio slave of life, eti he or she has to provide all or do every house work and take care of the kids. All in all in maelewano ya wanandoa.
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 02:51 |
      Well said mdau.

      Ndoa nikusaidiana. I live in the US with my husband (ni muafrica). We are both professionals - he is a orthodontic surgeon and I am a systems engineer. Tuna watoto wawili. We take turns with cooking and laundry and making sure watoto wameoga and homework. So one day yeye atapika (including kuosha vyombo na stove) while mimi nitahakikisha watoto wameoga na homework etc.. And yes we could afford cleaning services (I admit once in a while I hire them for deep cleaning)and hire babysitters on a need to basis. I am against living with help (just me I don't care what other people do)

      My husband is a darling siku nimerudi nimechoka sana atafanya kila kitu. And no he is not bwege. Ndio kusaidiana na kulea. If i was a gold digger ningekaa nyumbani na kuzurura mall kutwa. But I like to make my own money na when we put our money together we can see retirement coming soon.

      Kusema ukweli there are many african men in the US who help their wives - infact the majority - atleast in the circles that I am in do help their wives despite holding very senior positions in fortune 500 companies.

      As for Mange calling the guy bwege, achana naye huyo ni mshamba tu. Kazi kuspend hela za mme wake and blogging trying to keep up with akina Mwamvita who have careers and despite the fact that Mwamvita anachuna Ministers son atleast she has a 9-5 job and can hold her own.
      • Mshamba

        Mshamba

        03 August 2012 at 07:26 |
        Mdau uko juu. Unaongea point za kutosha kuhusu wanaume wengi wa Kiafrika majuu. Wakirudi hapa wengi wanabadilika sijui ni kwa sababu wa hapa hawataki kuonekana mabwege kwa sababu wengi wanadanganyana hivyo?
      • c's mum!

        c's mum!

        03 August 2012 at 07:56 |
        aiseeeeee umetokwaje povu sasa?? mange anacheza tu na akili za watu, nyie mnasemaaaaaaaaaaaaaa! kha, nways karibu uji wa kungu,tea tushushie nasoftdrink , mzima weye my dear??blowkissblowkiss
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 17:53 |
        HEE, UMENENA BIBIE CHEERScheers

        mdau scandnavia
      • Anonymous

        Anonymous

        03 August 2012 at 18:42 |
        Jamani mange has graduated not too long ago!, and just made a major move in her life to a different place about a week ago??!!!,she's just settling down, so mnataka kufika na kufika tu aanze ku pound the pavements without even getting used to her new neighborhood?, after all if the husband's working, they have good savings and they're living a comfortable life why rush? Nyie ndo mlozoea kurukaruka tuu kila kukicha, no vacation no time off then you end up living a nonstop stress life hafu unakuja kutuchafulia hali ya hewa kijiweni. Na hayo ya Mwamvita sijui yameingiaje hapa, who cares bout what she does? too much info nobody needs to know cause its HER LIFE!
  • koku

    koku

    03 August 2012 at 01:04 |
    ktk hali halisi, wabongo kweli wa mjini wanafanya hivi au tunakazana kusema ni MAPENZI!? mNGEPATA MUDA SAA NGAPI WA KUCHUKULIANA MABWANA KAMA MUMEO YUPO HOME NA KUBEBA MWANAYE MGONGONI.!! hapa hatuongelei kumbusu akiwa amekaa kwa sofa na kumuweka chini acheze,ni kumbeba na khanga au kitenge! acheni kutuzuga kha!!!mi mzungu wangu anabeba mgongoni na tunaenda kutembea mjini. nani anabisha??lmao
    • Independent Girl

      Independent Girl

      04 August 2012 at 07:07 |
      Koku, Mi nabisha, maana mimi nina tz ila anajua kupika na anapenda watoto kuliko hata mimi. Stop having the thought kwamba wazungu wako bora kuliko waafrica. I work with those white men in the industry nominated by men (so do your own calculation how many men i hang out with in a day) and to be honest not all are good as you people say. Watu kazini wanakuja na story kibao jinsi wanavyowacheat wake zao and so on. So please if your husband is god then pray he stays that way. Just know in all communities they are good and bad apples. so Hun pray that he won't change. And please stop making those watz alioolewa na wazungu kuwa wote ni malimbukeni kama few of people in here
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 01:24 |
    Hayo maneno mnayosema kama kweli vile? Ngoja iwe huyo ndio kaka yako anafua na mtoto mgongoni halafu mkewe kalala ndani kachoka tu hendi kazini wala nini basi tu kasumbuka na mtoto usiku kucha mchana kaamua kulala! Kama mtamwambia mwanamke mwenzenu kuwa pumzika tu kaka atafua na kupika! Lol adui wa mwanamke ni yeye mwenyewe!!
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 18:02 |
      mm mie nikimkuta kaka yangu kabeba mwanae hivi nitamuheshimuje na kufurahije. coz mpaka leo hii nasikia anamuendesha sana mkewe ila mkewe anamvumilia..inategemea na aina ya mwanamke mtu anaekaa nae..kuna wengine ndoivo wavivu na wengine wana bahati tu ya kupata mwanaume msaidizi..mie mume wangu uzuri wake anajua kupika ni chief cooker..sasa yeye huwa anapika mie nachezacheza na mtoto na kumpigisha story za hapa na pale simuoni bwege wala nn coz chakula chake kitamu kuliko nachopika mie..maisha makubaliano. na kila mtu na serikali yake..blowkiss to my lovely husband
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 18:46 |
      thumbs up , TRUE, TRUE NDUGU.

      ZE enemi of a woman Iz her thelf, to be egzakti!
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 02:01 |
    Mange I didn’t expect this from you since its normal in western even black does it and that what we call been modernise .Is that mean your hubby never cook, washing up or babysitting? I have been married for 7 year and I can’t remember the last time I did wash my clothing causer hubby does it and doesn’t mean he is foolish as he is so sweet ,care and I love him to bit . Is nothing to do with what you think honey is all about love lol.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 10:13 |
    Mange is an idiot and arrogant mfyuuuuu
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 10:35 |
    That is LOVE!i remember when we were in a day school, my dad would wake up every morning to iron our uniforms, polish our school shoes, put hot water in the bathroom for us to shower,make breakfast and set it on the table for all four of us. when done with breakfast he was the one driving us to school and he went straight to work. Mind you, my mom was there but most times she used to be on the night shift at work,so she comes home in the morning and she does the day's chores at home. For us kids, the minute we get home, everyone knew what she was supposed to do, whether doing the dishes, cleaning the table or feeding the chicken. Life was beautiful. I grew up wishing to have a husband like my dad,the guy i'm dating right now will turn out to be a good father and husband no doubt on that! There are so many days when he would come over my place and be like,baby,you've had a long day at work,let me cook tonight. He's amazing, and i'm blessed :))
    If you find such a husband, thank your God always.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 10:46 |
    Anayeona huyu baba ni bwege basi hata yeye ni bwege, tena zaidi ya huyu..
  • If Not Why Not.

    If Not Why Not.

    03 August 2012 at 10:56 |
    WEMA NAYE GONJWAGONJWA
    Katika hali ya kushangaza, Ijumaa lilipozungumza na mpenzi wa Diamond kwa sasa, Wema Isaac Sepetu, naye alikiri kuwa mgonjwamgonjwa (hakutaja ugonjwa ndiyo maana alishindwa kwenda hospitalini kumhudumia ‘hubby’ wake huyo.

    Makubwa. Sasa joka la mdimu, na mti unaopopolewa na majiwe. Wataziweka wapi sura zao ukirejea siku ya almasi daima pale almasi jubelee mambo waliyomfanyia our sweet Wema. Je itakuwaje jaje?????

    Dah acha si tupopchampgne
    • muddy washington

      muddy washington

      04 August 2012 at 08:54 |
      Hivi wanaumwa nini hasa hawa vijan jamani?????
      • Anonymous

        Anonymous

        04 August 2012 at 23:22 |
        Freddie mercury
  • matem

    matem

    03 August 2012 at 12:45 |
    Hamjamwelewa Mange,hajasema mume bwege ye just kaleta mada mezani tuidadavue,akili zenu nyembambaaaaa nyotefan
  • koku

    koku

    03 August 2012 at 13:52 |
    mi nilichoona hapo ni MANGE ameuliza swali! sasa ni juu yetu sisi kuamua kama ni bwege au sio. kila mtu na mtazamo wake na kwa maisha anayoishi pale alipo. kwa mimi ukiniuliza nitakwambia mapenzi tuu. ila nyie mliokuja juu na kumuwakia mange ndio mna matatizo na huo mfumo, na hizo chance mnazililia za kubebewa watoto wenu kama sio kupikiwa. nina uhakika LANCE anaweza kufanya hivyo tena kwa kitenge sio sitorolahappy ulaya ndio mambo haya yapo sana,sio kwa waliolewa na waafrika au wazungu,na tunaona ni jambo la kawaida tuu. eleweni SWALI na sio kumkoromea mleta topicfreedom
  • Toronto

    Toronto

    03 August 2012 at 15:03 |
    mapenzi Kizungu-zungu Babu we..birthdaydance
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 16:55 |
    Jamani eeh msilinganishe maisha ya majuu na Bongo, huyo mwanaume hayuko majuu yuko Afrika, wapi sijui.

    Isitoshe comment nyingi humu ni za wanawake, hebu na wanaume nao wakitanzania watoe maoni yao tusikie ni kitu gani kinawafanya wasiwasaidie wake zao kazi za ndani au kama wanawasaidia. Otherwise tutasikia tu wishful thinking zenu, maana wanaume kila siku wanazungumzia kuhusu wifey materials ndio wanaotaka kuoa!
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 17:49 |
    Mpendwa, mwenzio Mungu alinijaalia nikapata mume wa namna hii, nilikua kama malkia mpaka kupika..watoto walikua wanamsubiri ndo awaogeshe mie siwachekeshi eti..wakwe, mawifi na mashemeji walinikaliaje kooni eti nimemloga..akaja shemeji yangu mmoja akanambia hata kabla hajaoa kwao alikua hivyo hivyo kwahiyo ni malezi pia..wenye watoto wa kiume tuwafundiishe kusaidia na kujali na watawafanyia wenza wao hivyo hivyo unless we mwenyewe umkataze. Bahati mbaya ameshafariki mwaka wa 3sasa inaniwia vigumu kupata wa sifa zake.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 17:49 |
    Mpendwa, mwenzio Mungu alinijaalia nikapata mume wa namna hii, nilikua kama malkia mpaka kupika..watoto walikua wanamsubiri ndo awaogeshe mie siwachekeshi eti..wakwe, mawifi na mashemeji walinikaliaje kooni eti nimemloga..akaja shemeji yangu mmoja akanambia hata kabla hajaoa kwao alikua hivyo hivyo kwahiyo ni malezi pia..wenye watoto wa kiume tuwafundiishe kusaidia na kujali na watawafanyia wenza wao hivyo hivyo unless we mwenyewe umkataze. Bahati mbaya ameshafariki mwaka wa 3sasa inaniwia vigumu kupata wa sifa zake.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 17:50 |
    Mpendwa, mwenzio Mungu alinijaalia nikapata mume wa namna hii, nilikua kama malkia mpaka kupika..watoto walikua wanamsubiri ndo awaogeshe mie siwachekeshi eti..wakwe, mawifi na mashemeji walinikaliaje kooni eti nimemloga..akaja shemeji yangu mmoja akanambia hata kabla hajaoa kwao alikua hivyo hivyo kwahiyo ni malezi pia..wenye watoto wa kiume tuwafundiishe kusaidia na kujali na watawafanyia wenza wao hivyo hivyo unless we mwenyewe umkataze. Bahati mbaya ameshafariki mwaka wa 3sasa inaniwia vigumu kupata wa sifa zake.
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    03 August 2012 at 17:54 |
    NIMEAMUA KUJIWEKA PICHA MIMI APA UYO HAPOOO...NIMEPEDEZAJEEEEEEElickingcheer
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 18:05 |
    BUT HE LOOKS SAD. YAWEZEKANA MKEWE ANAUMWA MASKINI..GOD BLESS HIM N HIS LOVELY BABY..MASHALLAH WOTE WAWILI WANAONEKANA WANA AFYA MURUA.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 18:16 |
    mie mume wangu anavyompenda mwanae acha tu. anaona raha sana kumbeba na kucheza nae. na sometimes eti anakuwa haniamini mie nikimbeba mtoto yeye ndo ananielekeza nimshike vipi. akiona nazubaa zubaa anamnyakua nakuta gafla yuko mikononi mwake..sometimes tunajikuta tunagombea kumshika mtoto. n i love him for this. muhimu huwa namuandalia chakula cha usiku cha uhakika. mtoto akilala tu tunaanza na69 then tunamalizia nahump kama ni weekend tunashushia nadrinkbeer lots ofblowkiss in the air..my point mume kumsaidia mkewe sio ubwege ni mapenzi. life is too short.
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 19:35 |
      laughing mdau I love yur sign language in almost every sentence...thumbs up
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 18:59 |
    wanaume wengi haswa wa kikenya wanapenda sana wake zao unaambiwa ndani ya nyumba mke kazi yake nikujivinjari kuanzia deki mlo pasi mpaka vyumbani mimi nilikaribishwa kwa dada mmoja wa kibongo mumewe ni mkenya niliandaliwa breakfast mpk supper na mwanaume mkewe anaambiwa baby pumzika nilifurahishwa sana hongera zake bidada mchaga some human being bahati zake
  • ADAM MTOI

    ADAM MTOI

    03 August 2012 at 19:31 |
    makalio makubwashakebuttblowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 19:57 |
    IF THIS WAS A WHITE MAN...YOUR HEADLINE WOULD'VE BEEN "HOW SEXY" BUT SINCE IT'S A BLACK MAN, YOU'RE LAUGHING AND CALLING HIM "BWEGE" WHAT A ROLE MODEL TO YOUR CHILDREN.
    • Anonymous

      Anonymous

      04 August 2012 at 17:58 |
      m/
    • anony.

      anony.

      04 August 2012 at 21:11 |
      As far as the tiltle goes Mange ameuliza swali tujibu wadau lakini naona watu mmechukulia kivingine sana kiukweli nchi nyingi za africa watu wangemuita bwege ila kwamimi he is a perfect man if he is not acting.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 22:35 |
    education Wengi mmejibu kwa kutumia emotions au hisia badala ya hali halisi. Huyo mume hayo atayafanya kwa kificho na si hadharani kwani jamii inayomzunguka itamcheka. Na waume wa Bongo saa ngapi ataenda kuangalia mechi za UEA au kuvinjari na nyumba ndogo na saa ngapi atapika, kufua na kulea watoto? Wangekuwa responsible kiasi hicho mbona nyumba ndogo zingekuwa historia? Kwa sababu atachoka na kazi za ndani na hatakuwa na muda wa kwenda nyumba ndogo au kunywa pombe na washkaji, au inawatokea kwa msimu tu, mwezi au mwaka mara moja? Ewee basi wanaume wa kibongo ni malaika!!
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 22:57 |
  • Mtoto wa kichagga Marekani

    Mtoto wa kichagga Marekani

    03 August 2012 at 23:33 |
    Huyu mume mwenye mapenzi ya kweli.I am suprised the title is saying he is mume bwege.
    • Anonymous

      Anonymous

      04 August 2012 at 17:56 |
      Dear, I guess we have a lot of work to do to change our mentality, most of the times if not always, is all negative as a result whatever comes out from us is all negative too. Sad!
    • anony.

      anony.

      04 August 2012 at 21:06 |
      the title is asking mume bwege au? so you answer the way you think he is.
      • Anonymous

        Anonymous

        05 August 2012 at 00:30 |
        The title is ask if the guy is bwege or not and company with a laugh at bottom .she could done a little bit better .I know koku your number one fan but let be realistic ,the way the question been asked made sound like she is think the guy is bwege and this come as shocking to some people.
  • Anonymous

    Anonymous

    04 August 2012 at 05:45 |
  • anonymous

    anonymous

    04 August 2012 at 09:03 |
    MANGE ITS ANNOYING TO COME IN AND NOT FIND CHANGES...UPDATE BLOG EVRYDAY. TUTACHOKA
  • MAPENISHOW

    MAPENISHOW

    04 August 2012 at 12:59 |
    HEBU NIJUZENI JAMANI NI KWELI WEMA NA ALMAS WAMERUDIANA....MI NAMPENDA WEMA SANA....WADAU HEBU TULETE TOPIC ZETU WENYEWE MANA NAONA MANGE KAISHIWA...
    • Anonymous

      Anonymous

      04 August 2012 at 23:36 |
      hujatulia mapenishow nimechekaje eti tulete story zetu wenyewe mange kaishiwa kwiikwiikwii mange anasaka mkopo wa furniture subiri atamwaga mipicha kesho tuendelee kujiwekea story wenyewe nimesoma mtaani walikua hotelini pamoja wanakula raha
    • SEMENYA

      SEMENYA

      05 August 2012 at 02:34 |
      akoding to udaku unaojiita ati magazeti, nimeona kwenye mmtandao wao wamerudiana. natamani wema afungukeeee halo ya joka la mdimu limoja limodondoka bado lile lenye vichwa viwili.
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    04 August 2012 at 14:27 |
    I MISS YOU CEO YANI NACHUNGULIA KILA MUDA AND NOTHING IS UPDATEDsad
    • MISTRESS YA OBAMA

      MISTRESS YA OBAMA

      05 August 2012 at 17:36 |
      TI VANCOUVER uko wappi? njoo town tucheke leo kuna gay parade!
  • newcomer

    newcomer

    05 August 2012 at 20:13 |
    jamani nilipita kule,eti baby kamtumia nyumba amshauri kama anunue au la!nyumba yeneyewe ni ya Jigga na beyonce waliyokodi kwa mwezi dola zakimarekanilaki 4,sasa anadai et kwi ndo kamtumia.mi nilifikiri antukanwa bure kembe pimbi jamani yulekanuna kuiga tu
    • Nai Nai

      Nai Nai

      05 August 2012 at 22:52 |
      Mwacheni aweke hata White house ya Obama au Buckingham Palace ya queen Elizabeth, who give a shit?

      Yeye na wenziwe wakikua wataacha tu, maana wanatafuta kwa nguvu kugombana na mtu. Na watu hamjifunzi tu kwa picha ya Cynthia waliyopiga na Mange? Sometimes huwa nahisi yeye na group lake wanakuja kucoment huku ili watu wapate mzuka waende wakaongeze trafiki huko kwenye blogu yake.

      Na hata hii comment nayo ni kumpa promo kijanja ungeweka na linki kabisa watu waende huko!!
  • Nai Nai

    Nai Nai

    05 August 2012 at 22:42 |
    Mange naona hili swali la mtihani ungeliweka hivi, "JE WANAUME WA BONGO WANAYAFANYA HAYA? AU KUTWA WAKO PUB/GROCERIES NA WENZIWE WANAANGALIA MECHI ZA MPIRA?

    Maana huyo mwanaume atakuwa ni wa kutoka Malawi tu kama sikosei! Hapo sio Bongo wajamani tusidanganyane!!
  • golikapaz

    golikapaz

    04 August 2012 at 23:27 |
    ataanzia wapi naye anashindia uji wa kungu ka mwenzie
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    05 August 2012 at 08:14 |
    bi ngomanagwe unanyege wewe achana na c's mum wewe nenda kanyonyekissmyass

    yaani unakerekaje na sisi sasa lol!